Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Wako wapi wale waliokuwa wakisema Juventus atakuja kukaba kwenye hii mechi na kufanya mashambulizi ya kushhtukiza?
 
Anyone cam win this game....naina back 4 ya juve inakatika sana. Wanaweza wakapigwa gori za kush2kiza
 
Referee nimeanza kuwa na wasiwasi naye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…