Hala madrid....tujipongeze kwa kaz nzuri sana ya msimu huu katika ligi....kuanzia uongoz na mashabiki wote dunian....niwape hongera wakuu wote jukwaan huku...Salamander kwa kutupa updates za mara kwa mara bila kuchoka sanjali na wadau wengine....sasa twendeni tukachukue UCL kabisa msimu uwe safi huu.....hala madrid...