Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

sema ule upande wa danilo hata siuamini sana maana naona mashambulizi mengi yanatokea kule
 
Hapa tumbo joto kweli!! hawa wajamaa wametupania kweli kweli, sio kwa kutushambulia hivyo!!
 
Afadhali tumeenda half time tukajipange upya, yaani unaweza ukazuia mpaka ukajikuta unajifunga mwenyew!!
Hii game ingewezekana tungetia Kovacic ndani, sababu akina Modric wanabaki sana nyuma kwa kuogopa kulipua nyumba!!
 
Afadhali tumeenda half time tukajipange upya, yaani unaweza ukazuia mpaka ukajikuta unajifunga mwenyew!!
Hii game ingewezekana tungetia Kovacic ndani, sababu akina Modric wanabaki sana nyuma kwa kuogopa kulipua nyumba!!


Hii game bila kudefend itakuwa hatari. Lakini subiri tunawapiga second half hawa, Zizou have got tricks for big games
 



RECORD: Cristiano Ronaldo now has 367 goals in Europe's top 5 leagues; more than any other player in history.

Next up: Jimmy Greaves (366).
 
Isco with a counter attack rolled it to Ronaldo behind the defense to score RM 2nd goal tonight
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…