Afadhali tumeenda half time tukajipange upya, yaani unaweza ukazuia mpaka ukajikuta unajifunga mwenyew!!
Hii game ingewezekana tungetia Kovacic ndani, sababu akina Modric wanabaki sana nyuma kwa kuogopa kulipua nyumba!!
Afadhali tumeenda half time tukajipange upya, yaani unaweza ukazuia mpaka ukajikuta unajifunga mwenyew!!
Hii game ingewezekana tungetia Kovacic ndani, sababu akina Modric wanabaki sana nyuma kwa kuogopa kulipua nyumba!!