Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,368
Hahaha!! nimecheka sana kwa kweli!! lile goli ni la kihuni sanaaa!! ninajua upande wa pili watakuwa wanalia sanahivi jaman hili goli la Nacho ni lenyewe kabsa![]()
![]()
maana hata mi sja lilewa elewa
Hahaha!! nimecheka sana kwa kweli!! lile goli ni la kihuni sanaaa!! ninajua upande wa pili watakuwa wanalia sanahivi jaman hili goli la Nacho ni lenyewe kabsa![]()
![]()
maana hata mi sja lilewa elewa
Navas ndio ametuweka mchezoni mpaka sasa hivi!! sijaelewa kati ya Kroos na Kovacic ni nani amechukua mikoba ya Casemiro sababu kama beki yetu haisomeki LeoANOTHER BRILLIANT SAVE BY NAVAS!!!
Shukran sana Keylor Navas, sio kwa saves hizi za Leo, amekaza ile ile, kama alikuwa hiv kuanzia msimu unaanza basi tungekua na clean sheet kadhaa.
Wajamaa wanaonekana walikuwa wametupania sana, sema tumewazidi ujanja. Zidane itabid aongee na vijana wake, ukabaji Leo umekuwa wa mashaka sana kwa kweli!!Man, Sevilla wanaupiga kama hawajafungwa man. Bora tuende mapumziko hivi hivi.