
Me nawaambia kila siku huwezi mfananisha Cr7 Na zombie la mtaa wa pili kule.
Cr7 kacheza EPL bwana
Wazee wa offside.
Wivu huyo we na mess mtajibeba!Ushabiki wa kitoto ndo huu,basi Barton ni bora kuliko Xavi kwa sababu amecheza Epl
Ronaldo ni goal machine ila kiuchezaj huwezi at tottal huwezi mlinganisha na Messi
All in all hongereni kwa kuwazaba wapinzani wenu,hongera cr7 kwa kuzidi kuonesha umahiri uliokomaa katika swala la kupasia nyavu
One of the best signing kuwahi kutokea kwetu. Jamaa anajua sana. Halafu ni mtulivu throughout the game. Kroos ni sheedah.There are no stats that can define Toni Kroos' performance yesterday night. Maybe one of his finest ever. Above world class.
One of the best signing kuwahi kutokea kwetu. Jamaa anajua sana. Halafu ni mtulivu throughout the game. Kroos ni sheedah.