Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #28,601
This was Real Madrid's first Clean Sheet in the Champions League this season!!
Hataki kukubali ukweli! Chuki mbaya sana hii.Koke: "With Ronaldo playing we beat them 4-0 in the [Estadio Vicente] Calderon."
![]()
Hataki kukubali ukweli! Chuki mbaya sana hii.
Hahaha, kama kawaida, hao wajamaa wana kazi ya kuvizia wachezaji, last time Casemiro ndio alikukumbwa na hilo seke seke kule Munich!! na vipimo vikitoka watuambie.Naona jana Ronaldo baada ya game wakambanisha wakaenda kumpima kama katumia madawa ya kuongeza nguvu
Sioni Atletico wakicheza tofauti na walivyofanya pale Bernabeu!! Yaani wakijitahidi saana wataambulia droo!! Nina imani sana na vijana wangu!!Easy, jibu ni kwamba with Ronaldo playing we beat Atleti at Calderon 0-3.
kajiandaemh. juve juve juve....!!!!!!!
Juve hatuwaogopi , kwanza huko nyuma Real Madrid wanapokutana na Juventus kila timu inashinda nyumbani kwao ,sema juve walikuwa wanapita kwa goli la ugenini ! Sasa fainali hakuna goli la ugenini wala marudiano. Hapo tutajua ni nani mbabe sasa!kajiandae
Easy, jibu ni kwamba with Ronaldo playing we beat Atleti at Calderon 0-3.
Sioni Atletico wakicheza tofauti na walivyofanya pale Bernabeu!! Yaani wakijitahidi saana wataambulia droo!! Nina imani sana na vijana wangu!!