Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #28,241
Kick Off and Goaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaal Morata
Zidane alitufungisha na Barca! BBC frequence hazikamati, yeye analazimisha tuendelee kuiskiliza! Hakuna mchezaji anayenikera kama Benz!! Auzwe tu, Jemsi abaki!!13 minutes: Goaaaaaaaaaaaaaaaaal James

asee skujua kama kuna mechi so nimechil tuu ndani hapaHawa vijana wanajua sana kwa kweli, yaani mpaka unafurahia kuona wanavyocheza, wanacheza kwa ushirikiano sana, mpaka unajiuliza, hao akina BBC hua wanaganyaga nin uwanjan!!
Eeh man, tuna game Leo aisee dhidi ya Deportivo, hata hujachelewa sana kijana, ndio kwanza dakika ya 30.asee skujua kama kuna mechi so nimechil tuu ndani hapa
vijana wana wakilisha ee!?
he picked at aleast an angry team, kwa sasa anatakiwa awe bold na maamuzi yake , nimependa uthubutu alo ufanya leo.Eeh man, tuna game Leo aisee dhidi ya Deportivo, hata hujachelewa sana kijana, ndio kwanza dakika ya 30.
Vijana wametakata kweli kweli. Wanajituma na wanacheza kwa ushirikiano sana!!
Danilo katoa bonge la pass ya kisigino!! noma sana man
Meanwhile, Morata anakosa goli yeye na golikipa tuu!!
Udagaadagaa leo unatandaza boli bila presha, ila wangekuwepo wale mafaza, Depor wangetupumulia leo balaa!!HALF-TIME: Deportivo 1-3 Real Madrid (Morata, James and Vazquez) [HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]
Dogo sijui bench limemletea shida, hiyo ni nafasi ya Pili anapoteza ya waziWHAT A CHANCE IT WAS FOR LUCAS!!