Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #28,081
FULL TIME: Real Madrid 2-3 Barcelona (Casemiro 28', Jamesd 85'; Messi 33', 90'+2', Rakitic 73').
Na kinachouma zaidi kafunga nguchiro bora angefunga Iniesta kipenzi chenu.Inauma kuliko hata msiba wa mke
Mkuu ombea yasikukute yaliowakuta dhidi ya huyo kiumbeFukc
Mabeki
yaan bro nimeumia kama niko leba vileInauma kuliko hata msiba wa mke
Vijana wetu wametuvurugia usiku wetu acha kabisa, ila Zidane amezingua kuanzia kwnye selection yake, kutoka kwa Bale mwanzoni kumetuharibia plan zetu!! Kilichobaki hapa ni kupigana kweli kweli game zilizobaki.a perfect week have been ruined by Madrid.
ndio bas tena
Very sad ending!! nimechoka sana, anyway lack of concentration dk za mwisho kabisa, nafuu Modric angemfanyia faulo Sergi roberto pale mwanzo kabisa!!
Hahahahahahahahahahahahahaha!!!aaaah
braza hakuna matumaini, zaid zaid wasiongeze la tatu tu
Hahahahahahahahahahahahahahaha!!!!tume lipaaaaaa
yaan bos watu wananigongea hapa gheto kama nimeiba ila nimechuna kimyaaaa.Vijana wetu wametuvurugia usiku wetu acha kabisa, ila Zidane amezingua kuanzia kwnye selection yake, kutoka kwa Bale mwanzoni kumetuharibia plan zetu!! Kilichobaki hapa ni kupigana kweli kweli game zilizobaki.
Pole!! Subiri UEFAguys yaan nime umia kama nimeachwa na mwana mke niliye mpenda
inaumaaa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
aaaahPole!! Subiri UEFA