Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Wamejitahid kujikakamua, wajaribu tena Siku nyingine, tuambatane tena Mkuu kweny game na Leganes hiyo Jumatano.
ntakuwepo mkuu, performance yenu inafanya mechi yoyote inakuwa ngumu. kwahiyo nina matumaini kuwa Leganes watawasimamisha.
 
We won the game, but honestly it was a below performance.We really need to improve cause we have some tough games coming up.
Kabisa Mkuu, yaani muda wote unakuwa na wasi wasi kuwa tunafungwa, cha ajabu game na Atletico ama Bayern wanaweza kukaza kinoma, sijui hawa watu wadharau game au ni nin!!
Niatamani Kiko akae tena golini game inayofuata tutoke tena na clean sheet.
 
ntakuwepo mkuu, performance yenu inafanya mechi yoyote inakuwa ngumu. kwahiyo nina matumaini kuwa Leganes watawasimamisha.
Sawa sawa Mkuu!! Karibu sana, ni kweli ila unapocheza na Real Madrid hutakiwa kufanya makosa kama ukipata nafasi ya kutufunga, sababu sie dk kadhaa tu tunakubadilikia. Ishu ya performance sio ishu sana kwetu japokuwa haitupendezi. Mwisho wa siku point 3 ndio muhimu.
 
Upcoming Matches [HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]

C8zTpNKXcAA1e9O.jpg
 
Marca's Cover | "Griezmann bets on Atletico to win the derby: I see myself as favorite."

C8y9-SVUQAAhw37.jpg
 
The Madrid derby will be Zidane's 300th game with Real Madrid. 227 as a player and 73 as coach.

17796566_1554990434525711_8921613690065603161_n.jpg
 
Back
Top Bottom