Sevilla wanapower sana. nimewaogopa mno. Maskini Modric, aliamua awe anajiangusha tu.We had to loose some day
Since the record is ours nadhani hamna tatizo but next time tutarud kwenye winning ways
Yaan mimi nilipoona hiyo sare nikasema afadhali mpira uishe, maana sikuona mabadiliko yoyote aliyofanya zidane zaidi ya kumtoa Kroos! Sare ingetufanye tuendelee record yetuYaani hatukujifunza ile sare ya juzi dhidi ya hawa watu? Kuna umuhimu wa kuwapa nafasi Morata na Asensio.
Kweli kabisa ! Bale ni muhimu sana hasa kwenye game za hatari. Huwa hajiangushi sanaRonaldo was the worst player on the pitch. I don't remember to see him completed a single pass. Alikuwa anajiangusha Tu badala ya kucheza mpira. Kwa kifupi Real Madrid haikuwa na forwad kabisa. We miss Bale big time.
Madrid wanapenda kupiga chenga sana na kupenda kurudisha kurudisha mpira nyumaHapa ndipo ninapoona umuhimu wa ku-keep possession kama wafanyavyo Barca ambapo inapunguza presha na kuweza kujikusanya nguvu ya kutafuta goli.
Anyway ila inauma sana kupoteza game.
Sijui kwanini wanapenda sana hiyo style ya kurudisha hovyo mipira na chenga chenga zisizoeleweka. Hata tungeahinda au kudroo bado tulikuwa hovyo mno.Madrid wanapenda kupiga chenga sana na kupenda kurudisha kurudisha mpira nyuma
Chenga za ajabu mpaka zinakutia presha Kweli yaanSijui kwanini wanapenda sana hiyo style ya kurudisha hovyo mipira na chenga chenga zisizoeleweka. Hata tungeahinda au kudroo bado tulikuwa hovyo mno.
Kweli kabisa ! Bale ni muhimu sana hasa kwenye game za hatari. Huwa hajiangushi sana
Nilitabiri game itakuwa ngumu lakini sio kihivi hawa jamaa hata msimu uliopita walitusumbua hapa ok ni sehemu ya mchezo tujipange kwa game zingine .Tumeacha point 3 hapa wala sijaelewa game yetu
Hapa ndipo ninapoona umuhimu wa ku-keep possession kama wafanyavyo Barca ambapo inapunguza presha na kuweza kujikusanya nguvu ya kutafuta goli.
Anyway ila inauma sana kupoteza game.
Madrid wanapenda kupiga chenga sana na kupenda kurudisha kurudisha mpira nyuma
Nyie hamjaelewa. Sevila ni moja kati ya timu ngumu unapokutana nayo. Na haswa wanapokuwa nyumbani. Wanacheza gemu la kushambulia mwanzo mwisho. Wapo very physical. Ni moja ya timu itakayowapa pressure sana kwenye kuwania ubingwa.Sijui kwanini wanapenda sana hiyo style ya kurudisha hovyo mipira na chenga chenga zisizoeleweka. Hata tungeahinda au kudroo bado tulikuwa hovyo mno.