Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #24,841
Naona timu yetu haijaweza kuhold na ku-control full midfield
Ndio maana bado tunahangaika tu.
Yupo na hang tu Kati Kati ndio maana unamwona kama amechemsha, ila nafasi anayocheza ndio inamletea matatizo, hope kipnd cha pili wataongea ili Ronaldo arudi kati na yeye apate nafasi pembeniNaona Marcelo kachemka kabisa!