Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hawa ilitakiwa wapigiwe pressing pass towards their goal.
 
HALF TIME: @Real Madrid 1 - 1 Athletic(Benzema 7'; Sabin Merino 27'). [HASHTAG]#RMLiga[/HASHTAG] [HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]

CveeJ72WEAAdAll.jpg:large
 
Kapoteza nafasi za wazi kama 3, sometimes hawa untouchable players wanazingua tu. Kuna vijana kule bench hawapewi nafasi, hii ni bullshit system.
Kuna kila sababu ya kudisband hawa wanaojiita BBC, wanazingua tu, Kila siku tunabaki kusema afadhali huyu, Leo ni zamu ya Ronaldo kuruka ruka, Bale na yeye kupiga mipira ya mbali ananiudhi sana, kwanin asisogee?
 
Kapoteza nafasi za wazi kama 3, sometimes hawa untouchable players wanazingua tu. Kuna vijana kule bench hawapewi nafasi, hii ni bullshit system.
Ni kwel kabisa...unajua huu mfumo wa mpira biashara umeharibu sana matokeo uwanjan...yaan kuna wakat unaona kabisa hapa siyo sawa ila ndo hivyo kudadeq
 
Back
Top Bottom