Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kiukweli Leo timu imejituma sana na kuepuka makosa yasiyo ya lazima,big up kwa hilo,tumecheza vizuri sana bila shaka hii morale isiishie hapa hope itaendelea game zijazo, kikoai ni kipana sana kila mchezaji ana uwezo mfano kovacic anatendea haki dimba la kati pass zake pa1 na move zake xo nice,good performance so far,keep it boys.
 
HALF TIME: Real Betis 0 - 4 Real Madrid (Raphael Varane 4', Benzema 31', Marcelo 39', Isco 45'). [HASHTAG]#RMLiga[/HASHTAG] [HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]

Cu1R_a5W8AQc5D2.jpg:large
 
Afadhali hii presha ipungue, bado team haipo poa kihivyo ila wameonyesha wana nia ya kubadilika!! hope ushindi wa Leo utawaongezea morale na confidence, tumemiss sana mvua ya magoli kama hii ya Leo. #Realmadrid¡¡
 
Pepe hasifiwi? khaa, hawa vijana mbona kama wameanza tena ule uzembe wao? wanataka hizo 4 zirudi tena nin!!
 
Back
Top Bottom