pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,246
- 3,735
Here we go...hala madrid
Kiko ni jipu lililogoma kuiva.Huyu kiko ***** haongei na beki kudadeq....anashindwa kupanga beki...hadi pepe anammind kuwa aongee.....
James Kaanza leo nimependa hii.
Ramos pale mmmh
Kimeo jamaa wakati mwingine.Huyu jamaa anasubiri yellow nyingine aende nje. We subiri tu kama hatujamaliza one man down hapa.
Hahahhahahahahha...pale ilibidi adanganye umati maana angeonekana ingekuwa njano ya piliRamos pale mmmh