Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Yesterday, Cristiano was a doctor too.

CsWgU3UXYAATwsg.jpg:large
 
as | "Juanito said it: 90 minutes in the Bernabeu are very long."

CsX50ZdWAAAu518.jpg:large
 
Bale will undergo medical tests on Friday which should confirm whether or not he will be fit for the match against Espanyol. [MARCA]
 
Unasemaje Rapherl, Morata ndio responsabe wa kifo cha jamaa. Inshort tunaweza kusema, Morata kaua mtu jana.
Man,

Benzema enzi zake zimeisha, morata ana nia na juhudi. Ona jana spirit aliyokuwa nayo kabla na kipindi anaingia unaona kabisa ni mtu yuko pale kupambana kuwa msaada na kuwa kwenye first eleven, kiukweli Benzema tumemlea muda sana ni mda sasa zizou akafanya maamuz magumu
 
Man,

Benzema enzi zake zimeisha, morata ana nia na juhudi. Ona jana spirit aliyokuwa nayo kabla na kipindi anaingia unaona kabisa ni mtu yuko pale kupambana kuwa msaada na kuwa kwenye first eleven, kiukweli Benzema tumemlea muda sana ni mda sasa zizou akafanya maamuz magumu


Nafikiri Zizou still believe in BBC. Naona jana pale ndio kajaribu Best Eleven yake. Lakini kwa mtazamo wangu, kuna vijana wanaweza ku-deliver zaidi ya hawa wakuitwa BBC. Hawa jamaa wametu-cost game nyingi tangu enzi ya Ancelotti. Siwezi kusahau walivyotunyima starehe hawa.
 
Nafikiri Zizou still believe in BBC. Naona jana pale ndio kajaribu Best Eleven yake. Lakini kwa mtazamo wangu, kuna vijana wanaweza ku-deliver zaidi ya hawa wakuitwa BBC. Hawa jamaa wametu-cost game nyingi tangu enzi ya Ancelotti. Siwezi kusahau walivyotunyima starehe hawa.
Kweli kabisa wanaleta ufather wakati kuna damu changa zina morale ya kupambana na kuonyesha kuwa wanaweza kama Mariano,morata,asensio wakipewa mda wa kucheza na kuaminiwa sana wataanza kutufanya tuisahau BBC.
 
Nafikiri Zizou still believe in BBC. Naona jana pale ndio kajaribu Best Eleven yake. Lakini kwa mtazamo wangu, kuna vijana wanaweza ku-deliver zaidi ya hawa wakuitwa BBC. Hawa jamaa wametu-cost game nyingi tangu enzi ya Ancelotti. Siwezi kusahau walivyotunyima starehe hawa.
Nadhani sahivi inabidi iwe zama ya CBM Benzema alipoteaga kwenye game tumemvumilia msimu uliopita akajitahidi leo tena karudi uzembe ule ule... Jana hata kudribo mpira anashindwa....

Kitu kingine naona James ana record nzuri sana klabuni naaminj kocha ataendelea kumtumia, jana kafanya maajabu

Ila kama unasema ile ni 1st eleven basi mi 2nd half ndio naona ni 1st eleven, kuna Asensio na Mariano pia still tuna timu nzuri
 
Hahaha, Kuna watu mna vituko kweli !! Mimi ninataka wote wawe fit ili competition iwe kubwa, mmoja akiumia haitanoga!! Ninataka kila mchezaji awe na njaa ya kucheza.
Ubaya ni kuwa zizou ni kama anamuonea aibu benzema kumwanzisha bench hata akiwa na kiwango kibovu so bora aumie watu wenye kiu ya magoli wacheze
 
Ubaya ni kuwa zizou ni kama anamuonea aibu benzema kumwanzisha bench hata akiwa na kiwango kibovu so bora aumie watu wenye kiu ya magoli wacheze
Sidhan kama anamwonea aibu ni kuwa bado anaona kama Benzema yupo vizur ya Morata, ila ukweli utajulikana kutokana na jinsi wote wawili watakapewa nafasi. Ninachomkubali Zidane ni kwamba hawezi kumwonea mtu aibu wakati anaigharimu team yake, refer kwenye ishu ya Isco/James na Casemiro.
 
Nafikiri Zizou still believe in BBC. Naona jana pale ndio kajaribu Best Eleven yake. Lakini kwa mtazamo wangu, kuna vijana wanaweza ku-deliver zaidi ya hawa wakuitwa BBC. Hawa jamaa wametu-cost game nyingi tangu enzi ya Ancelotti. Siwezi kusahau walivyotunyima starehe hawa.
Ile ndio 1st 11 ya Zizou, ila kwa walivyocheza ninajua aliona mapungufu yalikua wapi!! Huko mbele ninajua Morata ama James mmoja wapo ataingia hapo!!
Wakati wa Ancelloti alikariri sana na pia tulikuwa na kikosi kidogo, so rotation ilikua ni shida, so mwisho wa siku kuchoka na majeruhi ikasababisha team kufail. This time tuna kikosi kilichokamili, Kazi ipo sasa kwa Zizou kucheza na rotation
 
Ile ndio 1st 11 ya Zizou, ila kwa walivyocheza ninajua aliona mapungufu yalikua wapi!! Huko mbele ninajua Morata ama James mmoja wapo ataingia hapo!!
Wakati wa Ancelloti alikariri sana na pia tulikuwa na kikosi kidogo, so rotation ilikua ni shida, so mwisho wa siku kuchoka na majeruhi ikasababisha team kufail. This time tuna kikosi kilichokamili, Kazi ipo sasa kwa Zizou kucheza na rotation
Well said,no doubt at all.
 
Cristiano Ronaldo 366 goals in 350 games with Real Madrid, 1.045 goal per game.

CsWnFicWAAAJaoj.jpg:large
 
Back
Top Bottom