Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #20,561
48' Goal by Oudin. Real Madrid 3-2 Stade de Reims
Huyu Nacho na mwenzie Varane wanashidwa kupeana majukum!! waajikuta wanatoka eneo la ulinzi wote!!
Alafu kuna kitu nilikiona kuanzia kwenye game za pre season na bapa kinajitokeza tena!! yakifanyka mabadiliko basi na team inakuwa haina maelewano,
Like father like son!! mpaka ile kutisha na kurusha mikono dogo na yeye anavyo hivyo vitu!! hatari sanaShades of zidane in this move by enzo.
Like father like son!! mpaka ile kutisha na kurusha mikono dogo na yeye anavyo hivyo vitu!! hatari sana
Wanaongozwa na wivu, so ni vigumu sana kuona kama dogo anaweza, juzi kweny super cup Zidane alimchukua Luca, ikawa ndio habar!!Kuna commentators walidai Zidane kaenda na Castilla Marekani kwasababu ya mwanae, lakini nashangaa sijui hawaoni talent hii.
Mtaalamu wa set pieces.The Sniper!
![]()
Mariano ni mzuri katika ufungaji na ana control nzur,anahitaji muda zaidi kuimarika akipata nafasi anaitumia kweli na anaweza shoot from distance pia,nafikiri akibakizwa first team atasaidia sana pale strikers watakapokuwa na majeruhi,otherwise alikuwa na pre-season nzur.MARIANO'S GOAL WAS CANCELLED and 2 minutes later scores again!
Real Madrid 5-3 Stade De Reims
Mariano ni mzuri katika ufungaji na ana control nzur,anahitaji muda zaidi kuimarika akipata nafasi anaitumia kweli na anaweza shoot from distance pia,nafikiri akibakizwa first team atasaidia sana pale strikers watakapokuwa na majeruhi,otherwise alikuwa na pre-season nzur.