Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #20,101
Febas anajua sana huyu mtoto!!
Wanamtatizo hao, kwani ameingia peke yake! kama alikua anaendelea angemwingiza Luca badala ya RubenNaona commentators wa Uingereza wanamuua Zidane kimtindo, wanadai anawaingiza madogo kwasababu anataka kuwapa promo watoto wake.
Madogo wamejisahau sana, hizi goli mbili za hazard ni kama tumempa tu
Ni kweli Mkuu, walijisahau sana, na ndio tatizo hilo hilo liliwaangusha Castilla, Solari anatakiwa awapike sana hao vijana!!Madogo wamekatika sana, pale nyuma. Bado hawako sawa kweye offside trap. Needs some serious work there.
Mkuu..upo vizuri kweli wew..???Madogo wamejisahau sana, hizi goli mbili za hazard ni kama tumempa tu