secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 15,228
- 28,341
Wache wajisahaulishe.Katika historia pia mwambie madrid haja wahi kumfunga arsenal
Wache wajisahaulishe.Katika historia pia mwambie madrid haja wahi kumfunga arsenal
Wafunge paaa ila wasisahau vijana wa arsenal wakipata goli tu hapo kwao itakua mlima. Sema madrid wana kubebwa. Ule mwaka chelsea alidhurumiwa hapo spain wangetolewa hapo hapo kwao tena kinyama ila VAR ikafanya usengeremaWache wajisahaulishe.
Mimi ni shabiki wa Madrid tatizo tumekariri tu kuwa madrid ni timu ya come back 😃😃😃 sio miaka hii ndugu,Hizo mechi zote nazikumbuka lakini niseme tu mechi hii ni tofauti sana. Arsenal kusema kweli wako vizuri sana.
Hata mechi ya kwanza dhidi ya Arsenal walijaribu kubebwa na bwana refa kipindi cha kwanza lakini hawakubebeka.Wafunge paaa ila wasisahau vijana wa arsenal wakipata goli tu hapo kwao itakua mlima. Sema madrid wana kubebwa. Ule mwaka chelsea alidhurumiwa hapo spain wangetolewa hapo hapo kwao tena kinyama ila VAR ikafanya usengerema
Kule kwa atletico ndipo wamebebwa pia sana huu msimuHata mechi ya kwanza dhidi ya Arsenal walijaribu kubebwa na bwana refa kipindi cha kwanza lakini hawakubebeka.
Kesho watabebwa na hawatabebeka.Kule kwa atletico ndipo wamebebwa pia sana huu msimu
Binafsi nadhani arsenal ni miongoni mwa vilabu vyenye solid defence msimu huu.
Sioni real Madrid akifanya comeback sanasana akiingia kichwakichwa nategemea kuona wakichezea kipigo heavy
Mm naombea yapande kushambulia na arsenal izuie afu wawakande goli la fasta wawe na wenge zaidi. Yakijaa mawenge wayaongezee la 2 afu agg iwe 5 kwa 0 mbona yatakimbia uwanja waoKesho watabebwa na hawatabebeka.
Na hicho ndicho kinachoenda kutokea mkuu.Mm naombea yapande kushambulia na arsenal izuie afu wawakande goli la fasta wawe na wenge zaidi. Yakijaa mawenge wayaongezee la 2 afu agg iwe 5 kwa 0 mbona yatakimbia uwanja wao
Arsenal wawe watulivu kama hawaja shinda vile yaan wawe kama chelsea siku ile pale bernabeuNa hicho ndicho kinachoenda kutokea mkuu.
Arsenal labda wakose nidhamu ya mchezo lakini vinginevyo hawa wapuuzi hawatoki salama.Arsenal wawe watulivu kama hawaja shinda vile yaan wawe kama chelsea siku ile pale bernabeu
Kweli. Ikawe hivyoArsenal labda wakose nidhamu ya mchezo lakini vinginevyo hawa wapuuzi hawatoki salama.
Ngoja tuone, kesho siyo mbaliKweli. Ikawe hivyo
Sasa mkuu fans wa Simba na Yanga spana, wa timu za Ulaya spana, unataka iweje?Tunashabikia mno timu za wazungu.
Tunalisahau Taifa letu linaangamia.
Hata wao hawashabikii kama sisi.
Kenya huwa wanajinyonga kisa Arsenal.
Mungu atuepushe na Upumbavu.
E Baba fungua akili zetu Vijana wa Kitanzania , Tuamke kwenye huu ugonjwa mkubwa.
Acha kukariri maisha.Wameshinda lakini hawana furaha. Tafsiri ya kauli hii ipo mioyoni mwa mashabiki wa Arsenal.
Wakati tunajiandaa na come back kabambe dhidi ya Hawa watoto (Arsenal), nawatembeza chini ya barabara nyembamba ya kumbu kumbu, ili Hawa vijana wa Arsenal wajue ni dudu gani wanaenda kukutana nalo hapo Spain. Hizi hapa comebacks baadhi
1. Real vs City 2022
First leg City 4-3 Real, Etihad
Second Leg, Bernabeu
Mpaka dakika ya 90 City anaongoza moja bila, aggregate City 5-3 Real. Full time Real 6-5 City
2. 1. Real vs PSG 21/22 UCL,
First leg at Parc Des Princes, PSG 1-0 Real.
Wanakuja Bernabea second leg, dkk ya 40 Mbappe anaweka chuma ya pili. Aggregate PSG 2-0 Mardid baada ya kipindi cha kwanza.
Game iliisha Mardid 3-1 PSG.
3. Real vs Bayern, 2024
First leg Real 2-2 Bayern Ujerumani
Second Leg, Mardid.
Mpaka dakika ya Mpaka dakika ya 88, Bayern anaongoza moja bila, aggregate inasomeka Real 2-3 Bayer.
Full time Real 2-1 Bay, Agg 4-3
4. Real vs Wolfsburg
First leg German
Wolf 2-0 Real
2nd leg Spain
Real 3-0 Wolf
5. Vs Juventus 2018
First leg Italia
Juve 3-1 Mardid
Second Leg Spain
Madrid 3-0 Juve
Aggregate Mardid 4-3 Juventus. Hii Juventus ya watu haswa.
With closed roof, kelele mara 5 ya zile za Anfield, Arse8 hawatoamini wamepigwa na kitu gani