Real Madrid come back vs Arsenal

Real Madrid come back vs Arsenal

Hizo mechi zote nazikumbuka lakini niseme tu mechi hii ni tofauti sana. Arsenal kusema kweli wako vizuri sana.
Mimi ni shabiki wa Madrid tatizo tumekariri tu kuwa madrid ni timu ya come back 😃😃😃 sio miaka hii ndugu,
Mwaka huu madrid sio nzuri imepokea vipigo vingi vya maana na inaudhaifu mwingi hasa kwenye wing back .

Arsenal ni timu nzuri Saaana wanacheza kwa nidhamu ya hali ya juu, pia hakuna ustaa kama real madrid

Ili madrid apite inabidi amfunge ARSENAL kwa difference ya 4 yaani mechii iishe 4-0, 5-1, 6-2, 7-3, 8-4 etc kitu ambacho sio rahisi sana hasa kwa timu zinachocheza kwa nidhamu kama Aseno
 
Wafunge paaa ila wasisahau vijana wa arsenal wakipata goli tu hapo kwao itakua mlima. Sema madrid wana kubebwa. Ule mwaka chelsea alidhurumiwa hapo spain wangetolewa hapo hapo kwao tena kinyama ila VAR ikafanya usengerema
Hata mechi ya kwanza dhidi ya Arsenal walijaribu kubebwa na bwana refa kipindi cha kwanza lakini hawakubebeka.
 
Hata Simba hawakuamini itaitoa Al Masry wengine wakaomba wapigwe ban kabisa endapo ingeitoa!
Naweza kusema game ya leo ni very unpredictable kwa vikosi vyote vilivyo na uzoefu wa Madrid.
 
Binafsi nadhani arsenal ni miongoni mwa vilabu vyenye solid defence msimu huu.
Sioni real Madrid akifanya comeback sanasana akiingia kichwakichwa nategemea kuona wakichezea kipigo heavy
 
Binafsi nadhani arsenal ni miongoni mwa vilabu vyenye solid defence msimu huu.
Sioni real Madrid akifanya comeback sanasana akiingia kichwakichwa nategemea kuona wakichezea kipigo heavy
 

Attachments

  • 20250415_120225.jpg
    20250415_120225.jpg
    534.4 KB · Views: 11
Mm naombea yapande kushambulia na arsenal izuie afu wawakande goli la fasta wawe na wenge zaidi. Yakijaa mawenge wayaongezee la 2 afu agg iwe 5 kwa 0 mbona yatakimbia uwanja wao
Na hicho ndicho kinachoenda kutokea mkuu.
 
Tunashabikia mno timu za wazungu.
Tunalisahau Taifa letu linaangamia.
Hata wao hawashabikii kama sisi.
Kenya huwa wanajinyonga kisa Arsenal.

Mungu atuepushe na Upumbavu.
E Baba fungua akili zetu Vijana wa Kitanzania , Tuamke kwenye huu ugonjwa mkubwa.
Sasa mkuu fans wa Simba na Yanga spana, wa timu za Ulaya spana, unataka iweje?

Ishu ni kushabikia timu 'za sehemu fulani' au kushabikia 'sana'?

NB: kwa Simba na Yanga huwa nakuunga mkono
 
Wameshinda lakini hawana furaha. Tafsiri ya kauli hii ipo mioyoni mwa mashabiki wa Arsenal.

Wakati tunajiandaa na come back kabambe dhidi ya Hawa watoto (Arsenal), nawatembeza chini ya barabara nyembamba ya kumbu kumbu, ili Hawa vijana wa Arsenal wajue ni dudu gani wanaenda kukutana nalo hapo Spain. Hizi hapa comebacks baadhi

1. Real vs City 2022
First leg City 4-3 Real, Etihad
Second Leg, Bernabeu
Mpaka dakika ya 90 City anaongoza moja bila, aggregate City 5-3 Real. Full time Real 6-5 City

2. 1. Real vs PSG 21/22 UCL,
First leg at Parc Des Princes, PSG 1-0 Real.
Wanakuja Bernabea second leg, dkk ya 40 Mbappe anaweka chuma ya pili. Aggregate PSG 2-0 Mardid baada ya kipindi cha kwanza.

Game iliisha Mardid 3-1 PSG.

3. Real vs Bayern, 2024
First leg Real 2-2 Bayern Ujerumani

Second Leg, Mardid.
Mpaka dakika ya Mpaka dakika ya 88, Bayern anaongoza moja bila, aggregate inasomeka Real 2-3 Bayer.

Full time Real 2-1 Bay, Agg 4-3

4. Real vs Wolfsburg
First leg German
Wolf 2-0 Real

2nd leg Spain
Real 3-0 Wolf

5. Vs Juventus 2018
First leg Italia
Juve 3-1 Mardid

Second Leg Spain
Madrid 3-0 Juve

Aggregate Mardid 4-3 Juventus. Hii Juventus ya watu haswa.

With closed roof, kelele mara 5 ya zile za Anfield, Arse8 hawatoamini wamepigwa na kitu gani
Acha kukariri maisha.
 
Back
Top Bottom