Reading books versus taking a master degree or PhD

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
14,937
26,638
Habari zenu wakuu ? Nina swali moja nataka kushare nanyi. Kwa mtu anaetaka kuwa nondo kwenye field fulani? Kipi bora ? Kusoma masters na kufanya PHD kabisa ? Au kusoma vitabu kwa wingi na ikiwezekana kufanya primary researches ? Mimi naamini kusoma vitabu na kufanya primary researches is far much better than going for masters or PHD .. What do u think ?
 
Brother huwezi kufanya yote mawili au, I mean kusoma botany huku ukifanya PhD.

Btw kumbe unaweza kuwa PhD bila hata kujishughulisha kusoma botany.........
cjakusoma
 
Unasoma upate hiyo PhD ili iwe nini?

PhD tulionao mbona hawana jipya lolote zaidi kubaki na majina tu kuwa wana phd?

Acha kupoteza muda wako, matajiri wengi duniani hawana PhD

Hata me sina PhD lkn nna watu zaidi ya 50 waendesha maisha yao kwa ajili yangu,

U have spoken my mind!
 
Habari zenu wakuu ? Nina swali moja nataka kushare nanyi. Kwa mtu anaetaka kuwa nondo kwenye field fulani? Kipi bora ? Kusoma masters na kufanya PHD kabisa ? Au kusoma vitabu kwa wingi na ikiwezekana kufanya primary researches ? Mimi naamini kusoma vitabu na kufanya primary researches is far much better than going for masters or PHD .. What do u think ?

Vyote pamoja! Kusoma mbona ni shughuli ya kawaida tu! Au Mzee- nadhani kusoma vitabu na kufanya tafiti zako mwenyewe ndio kukufanya uwe bobezi? La hasha!
 
Inategemea na mtazamo wako,kwa mfano;unataka utambulike kwa taaluma ili iweje? au unataka upate maarifa ili iweje? ukiweza kujibu hayo maswali,ndipo utakapojua kipi bora.
 
Unasoma upate hiyo PhD ili iwe nini?

PhD tulionao mbona hawana jipya lolote zaidi kubaki na majina tu kuwa wana phd?

Acha kupoteza muda wako, matajiri wengi duniani hawana PhD

Hata me sina PhD lkn nna watu zaidi ya 50 waendesha maisha yao kwa ajili yangu,
Unajua asili na maana PhD. PhD haina maana ya utajiri na ukiona mtu anaPhD halafu yeye ni tajiri hiyo ni fake. PhD maana yake ni free quality service to the world.
 
Habari zenu wakuu ? Nina swali moja nataka kushare nanyi. Kwa mtu anaetaka kuwa nondo kwenye field fulani? Kipi bora ? Kusoma masters na kufanya PHD kabisa ? Au kusoma vitabu kwa wingi na ikiwezekana kufanya primary researches ? Mimi naamini kusoma vitabu na kufanya primary researches is far much better than going for masters or PHD .. What do u think ?
Uko sahihi mkuu, kupata PHD haimaanishi una elimu, ila umepata cheti kulingana na taratibu za hiyo field. Lakini knowledge ipo vitabuni mkuu
 
je unataka kutambulika na wewe upo soma hiyo PHD , unataka kusonga mbele on what you believe , soma vitabu . kwa maana watu wengi wanahangaikia maisha badala ya kuyaishi na hivyo kukosa ladha ya maisha . maisha yana ladha na ndiyo maana watu wanaenda club, beach , kunywa pombe ili ladha ipatikane
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom