demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Historia huwa haidanganyi hata siku moja. Unaweza ukawa unajiuliza tatiza la Azam FC ni lipi. Mpaka sasa na usiwe na jawabu la swali hilo.
Historia inatuambia kuwa kila nyakati au msimu ambao Azam FC wanamchezaji mmoja au zaidi walio wahi kucheza Yanga SC basi msimu huo huwa hawafiki mbali kimataifa.
Hakuna msimu ambao Azam FC aliwahi kuwa na mchezaji wa Yanga SC kwenye kikosi chao wakafanya vizuri kimataifa.
Na sio kimataifa tu, bali.hata kwenye LigiKUU Tanzania Bara.
Azam FC watafanikiwa endapo wataachana na wachezaji walio wahi kupitia Yanga SC.
Vinginevyo wawe tayari kuzoea hii laana ambayo itaendelea kuwatafuna mpaka kiama chao.
Asanteni Azam FC kwa kushiriki, sasa rudini kambini mkapande mikakati ya kutetea nafasi ya 2 kwa sababu Simba SC, Singada FG nao wanaitamani.
Alamsiki.
Historia inatuambia kuwa kila nyakati au msimu ambao Azam FC wanamchezaji mmoja au zaidi walio wahi kucheza Yanga SC basi msimu huo huwa hawafiki mbali kimataifa.
Hakuna msimu ambao Azam FC aliwahi kuwa na mchezaji wa Yanga SC kwenye kikosi chao wakafanya vizuri kimataifa.
Na sio kimataifa tu, bali.hata kwenye LigiKUU Tanzania Bara.
Azam FC watafanikiwa endapo wataachana na wachezaji walio wahi kupitia Yanga SC.
Vinginevyo wawe tayari kuzoea hii laana ambayo itaendelea kuwatafuna mpaka kiama chao.
Asanteni Azam FC kwa kushiriki, sasa rudini kambini mkapande mikakati ya kutetea nafasi ya 2 kwa sababu Simba SC, Singada FG nao wanaitamani.
Alamsiki.