Hahaha underage wamefanyaje kwani jamani?
Sio 30's tu,hata kuwa late 40's bado sio sababu ya kuolewa na yeyote anayekuja mbele yako na ku propose ndoa.
Thamani ya mtu haishushwi na umri,usiolewe kisa umri unaelekea alasiri ukaishia kuishi maisha ya majuto.
Hujakuwa ww kuwa uyaone,hongera zako ww ambaye dada zako wamefikisha 18 na kuolewa wote
Sio kila Mtu Anapenda kufikia umri huo akiwa single. Na sio kila anayefikia umri huo bila ndoa, alikuwa anachagua wanaume. Na sidhani Kama ukifikisha 30s au ukizalia nyumbani, basi ndo usiwe na mwanaume unayewish Kuwa naye, kwa hiyo Mtu ajillazimishe tu kuolewa na yeyote kwa sababu she is in her 30s? Wapo wanaume wanaooa wadada wenye watoto na wenye 30s na ndoa zao zina baraka mno. Ni kumpata Mtu sahihi tu kwa kwako
Hapana, Ni watu wawili tofautiHiv heaven on earth na na heaven sent n mtu mmoja... maana inanichanganya sanaa hiii
Usije itaka Harusi kwa pupa ukarudi na talaka.
Hapana, Ni watu wawili tofauti
Hahaha Sawa baby ake HOEKweli. Maana Heaven on Earth ni kademu kangu ambako hatukufahamiana barabarani.
Intelligent thinking! Naona kuna watu wanakuhusisha kutoolewa na mkosi, si kweli na si lazima kulazimika kuolewa na yeyote hata usiyempennda kwa ajili ya umri kwenda. Wala si dhambi mtu kuishi bila kuolewa. Tusemeje kwa wanaume wanaopindukia 40s na hawajaoa? Mbona ni wanawake tu ndiyo wanaosakamwa sana?Sio 30's tu,hata kuwa late 40's bado sio sababu ya kuolewa na yeyote anayekuja mbele yako na ku propose ndoa.
Thamani ya mtu haishushwi na umri,usiolewe kisa umri unaelekea alasiri ukaishia kuishi maisha ya majuto.
Hoja yako imepita bila kupingwa. Inasubiri saini yangu iwe sheriaWatu wengine bana, sasa kufikisha 30 ndio nini? Camila mke wa Prince Charles aliolewa na miaka mingapi? ndo roho yake ilipopenda. wewe unadanganya watu mtu aolewe mapema ili nini? akubali kuwa punching box ya mtu mwingine kisa umri? LOL umepotea wewe. Kila mtu ana uchaguzi wake rafiki yangu ukae ukijua hilo na ipe roho kitu inapenda kama wewe huwezi wenzio ndio wanawataka hao, wametulia wana maamuzi yenye busara. NAOMBA KUTOA HOJA
Khaaaaah mmeanza tena? Mkimaliza mnaanza na single mothers, yaani duuuh!!
Si ndio hapo sasa mtu mwingine hana kigezo hata ya nusu kabla kufikia moja alafu naye analalamika, kama wanaume wanavyochagua hata wanawake wana vigezo vyao atiii, mbona wapo wanaume ambao kupata wenzi wanasanda hadi huruma mwisho anajizolea tu, hao mbona hawafunguliwagi nyuzi??
Wengi wanaotetea hapa wamevuka hiyo 30 na washatumika hadi mashavu yamekuwa kama mbwa wa mzungu......
Ndio wanaongoza kutafuta waty mitandaoni maana mtaani kwao wanajulikana malayaaaaaa mbwa