IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,463
- 7,385
Wakuu,...
Naomba kujuzwa kuhusu hii kitu inaitwa "WikiLeaks"...maake mara nasikia_Wikileaks..asemayo Kikwete kuhusu zanzibar,mgongano wa Kapuya na gen.Waitara,Kikwete aliwaombea Jairo na Makamba US and so forth and so on,...
My take:naomba kujuzwa kuhusu huu mtandao ni kama mitandao mingine ya kijamii like twitter,jf,fb etc....kwamba watu wanapost maoni yao huko au ni something tofauti kiasi kwamba habari zake ni realiable sana.
Ni hayo tu wakuu.
nawakilisha ili nipate jua hii kitu
Naomba kujuzwa kuhusu hii kitu inaitwa "WikiLeaks"...maake mara nasikia_Wikileaks..asemayo Kikwete kuhusu zanzibar,mgongano wa Kapuya na gen.Waitara,Kikwete aliwaombea Jairo na Makamba US and so forth and so on,...
My take:naomba kujuzwa kuhusu huu mtandao ni kama mitandao mingine ya kijamii like twitter,jf,fb etc....kwamba watu wanapost maoni yao huko au ni something tofauti kiasi kwamba habari zake ni realiable sana.
Ni hayo tu wakuu.
nawakilisha ili nipate jua hii kitu