Naona na wewe unahitaji kujifunza lile somo la LOGIC as suggested in one of the threads. Well umekosoa sentensi, ukaja na ur own clarification mwisho ukakonclude "zao la UDSM"
Elimu yetu ya chini inajulikana udhaifu wake, inasikitisha lakini ndiyo hali halisi.
Siwezi kuilaumu fully shule ya Ujiji huko alikosoma Zitto kwa sababu Zitto hajui kiingereza cha darasa la nne, naweza kuilaumu kidogo.
Lakini kwa sababu Zitto aliweza kuendelea akapita Chuo Kikuu cha Dar na udhaifu wake ukabaki pale pale, akawa na Kiingereza kibovu kuliko cha darasa la nne, basi hii inaonyesha UDSM kuna kupoteza wakati sana. Mtu atasoma vipi chuo kikuu ambacho lugha ya kufundisha ni kiingereza, ka miaka mitatu au minne, bila kujua kwamba "did supported" is a no-no ?
Wewe mtu kamanda jeshini, huko nyuma alipitia uskauti, akafuzu, akafika mpaka JKT, akapita, akaenda mpaka Monduli Military Academy akapita, kama hajui hata kujenga tent, kitu alichofundishwa tangu scout, na jeshini alitakiwa anakitumia kila siku, surely scout watakuwa na lawama yao, lakini hawa Monduli ndio kabisaaa, wataonekana hata kazi za kiskauti wameshindwa kumuwezesha huyu mwanajeshi.
Vivyo hivyo kwa Zitto Kabwe. Zitto angekuwa na elimu ya darasa la saba, tungelaumu kidogo hiyo shule yake ya msingi, lakini tungesema under the circumstances wamejitahisi. Lakini Zitto ana elimu ya Chuo Kikuu, inaonekana basi hapo Chuo Kikuu wtu hawajifunzi kitu maana hata lugha ya mawasiliano wanachapia, sasa wanawasiliana vipi? Si ndiyo hapo wanaanza mambo ya kubahatisha.
Halafu hata ukiacha lugha, kama wanavyosema wengine. Mtu aliyeelimika, mwanasiasa anayejua rule of law, accountability, historia yetu ya kupenda humility na ku shun arrogance, anaweza kusimama na kusema kwa kujivuna kabisa, macho makavu " I am unpredictable" na vimifano uchwara vya kina Nyerere humo humo.
Hivi hata ukiacha mambo ya lugha, unaona mtu huyu kaelimika kweli huyu? Yaani nilitegemea hata mazezeta ya UDSM yaweze kujua kwamba siasa is all about projecting humility and predictability, it makes people comfortable, it is elegant, it even makes markets comfortable.
Mtu kasoma uchumi anajivunia unpredictability ? Mbunge wa watu sensitive kama watanzania anajitangaza arrogance yake ?
Waliompigia kura kwa kufikiri wanamfahamu leo wakisikia jamaa kasema yeye unpredictable watajisikiaje? Mtu anayetengeneza controversy kirahisi hivi kaelimika huyu? Nilitegemea hata the worst from UDSM wawe way above this despicable mockery of a parliamentarian.