Re: VODACOM NA AIRTEL, INTERNET ISSUE

Wote wanawaibia, bora TTCL, ninalipa sh 110,000 napata unlimited connection na haisumbui ,angalau naweza jiachia ingawa speed sio nzuri kivile ila na weza cheki Youtube videos . Nilijaribu kwenda Sasatel kutaka kuchukua ile unlimited yao ambayo ina speed kuaniza 3.1 ,ni sh 290,000 halafu kumbe wankupa 10GB halafu ukizimaliza ndio uwanakupa unlimited yenye speed ya 1.53kbs , wizi mtu.
 
Jaman tusiwatwishe vitu wasivyositahili hawa watoa huduma za mitandao, VODA na AIRtel ,kwa kifupi voda ndo nzuri zaidi na iko faster kupita maelezo ingawa kuna kipindi inakuwa na kwikwi. Usiweke 20,000/= kupata megabite kadhaa, we weka 30,000/= unlimited ya mwezi mzima, ukilala ukiamka masaaa 24 kitu kiko hewani kwa siku 30. unaweka 30,000/= kwenye line kisha unakwenda kwenye message unaandika BOMBA30 kisha unatuma kwenda 123, unapata sms ya confirmation, baada ya hapo mweza mzima unapata net.

Hata hivyo mi si mfanyakazi wa VODA ila nasema hivo kwa kuwa nimekuwa mteja wao tangu walipokuwa wakicharge 60,000/= kwa mwezi unlimited.
 
Vodacom na Air tel, wanatuibia sana kwenye internet juzi nimeweka elfu 20 yangu hata haijakaa kwenye modem na sijadownload chochote??? KWELI HIZI KAMPUNI ZETU SIJUI KAMA TCRA WANAISAIDIA SERKALI AU WAPO TU MPAKA MTU AIBIWE SIMU

kwa moderm/network yoyote unayotumia hakikisha automatic updates ziko off la sivyo ukisha conect internet kila software iliyoko kwenye computer inaanza kuji-update, so hatakama ume-convert to data hizo updates zita consume data bundle yote kabla wewe huja download kitu chochote.
 
ishu hapa siyo bundle wala nini...ishu ni wizi...mnatuchanganya na hizo lugha hakuna lolote!...mi hiyo bundle ilikwishaga in no time bila ya kudownload wala kuitumia extensively.....sijanunua tena airtime yao....wala sijui modem niliitupia wapi...dah mi nilishashindwaga na hawa jamaa!!

use sasatel,so far cjaona any problem. Sema ishu ipo dar tu,ukitoka ndo baaasi.
 
Mkuu unachokisema sio sahihi, mbona mi natumia data card ya vodacom na charges zao ni reasonable sana! Mambo mengine mna exaggerate wakuu, kwa zaidi ya miezi 5 natumia data card ya mambo ni mswano tu.

Mimi si mtaalamu wa mambo ya IT na Computer, lakini my internet is fast. Kama kufungua JF home page ni mwendo wa visekunde viwili au vitatu tu. Jaribu kuwa consult wataalam wa IT wakwambie tatizo ni nini katika computer yako!!

Nadhani wakati mwingine sio lazima liwe suala la kufanya kazi Vodacom. Tusiwe na majibu mepesi kwa matatizo yetu. Niko Mbezi Makabe. Mimi kila siku kuanzia saa kumi jioni baada ya mihangaiko ya siku ninanunua kavocha kangu ka MIA TANO nakaweka na kuomba CHEKA INTERNET na kupata MB zangu 20 kwenye DTop na kama siku hiyo sina makuu zaidi ya kusoma magazeti, kujenga kibanda JF na kuchungulia picha kwenye thread ya picha nakatumia mpaka saa sita usiku inapokatika automatically! Ninayo pia modem ya TTCL hii naitumia kama nina kazi ya haraka sana. Ni kweli iko fast lakini hata hela inakula Fast! Ninaponunua ile ya alfu Moja haichukui round! bado najipapasa ili kununua ile Bundle yao ta alfu 30 kwa mwezi ili nipime.
 
hivi, nikitaka kuweka cheka internet kama ishirini kwa wakati mmoja inawezekanaje? yaani nisiwe na haja ya kutuma sms "CHEKA INTERNET" mara 20. (20Mb*20 = 400MB) kwa shilingi 10,000!

Nimekuelewa swali lako Mkuu. Hata mimi huwa nafanya hivyo. Naweka vocha ya Voda ya shs Alfu Tano na kisha natuma meseji kumi mfululizo za Cheka Internet kwenda 123 na zote zinakata na kisha unacheki balance na kukuta MB 200 zako zimeingia.
 
Wakuu
Kwa kusaidia kidogo mie natumia internet bundle ya airtel (zain) nilinunua 400mb kwa sh 2500 na natumia kwa wiki ya tatu sasa , unachotakiwa kufanya kama walivyo sema waliotangulia disable all update za window na program nyingine utakuwa safe
 
Vodacom na Air tel, wanatuibia sana kwenye internet juzi nimeweka elfu 20 yangu hata haijakaa kwenye modem na sijadownload chochote??? KWELI HIZI KAMPUNI ZETU SIJUI KAMA TCRA WANAISAIDIA SERKALI AU WAPO TU MPAKA MTU AIBIWE SIMU

Stay tuned to this channel. Solution ya haya yote iko njiani inakuja! 2011 tunafanya mapinduzi!
 
Mimi natumia Airtel ni nzuri isipokuwa kama umemaliza wanakata shs 150 kwa kila MB 1. Ni muhimu kuangalia. kama umeishiwa subiri saa 6 usiku upate bure.

Je Zantel vipi? Kuna mtu anataka kwenda Zanzibar. Je atumie Zantel? Aliye macho anisaidie
 
Nadhani wakati mwingine sio lazima liwe suala la kufanya kazi Vodacom. Tusiwe na majibu mepesi kwa matatizo yetu. Niko Mbezi Makabe. Mimi kila siku kuanzia saa kumi jioni baada ya mihangaiko ya siku ninanunua kavocha kangu ka MIA TANO nakaweka na kuomba CHEKA INTERNET na kupata MB zangu 20 kwenye DTop na kama siku hiyo sina makuu zaidi ya kusoma magazeti, kujenga kibanda JF na kuchungulia picha kwenye thread ya picha nakatumia mpaka saa sita usiku inapokatika automatically! Ninayo pia modem ya TTCL hii naitumia kama nina kazi ya haraka sana. Ni kweli iko fast lakini hata hela inakula Fast! Ninaponunua ile ya alfu Moja haichukui round! bado najipapasa ili kununua ile Bundle yao ta alfu 30 kwa mwezi ili nipime.
Iko kwenye broadband tu sio TTCLMOBILE.
 
Hawa jamaa ni wezi tu hizo bundle zenyewe ukiweka kufuangua JF home page 1 hr.

Tanzania mitandao ya simu WIZI mtupu. Mimi natumia moderm ya Zain/Airtel huku nilipo - download kwa sana - na ninalipa 25$ tu kwa mwezi mzima
 
mie ninatumia bundle ya 400Mb ya zain/airtel kwa mwezi kwa sh. 2500.. naunganisha simu yangu na komputa kwa kutumia wire wa usb. speed ya internet ninayopata ni maximum 10kb kwa sekunde. hii maana yake ninafungua web pages zote bila ya tabu. na ukitaka raha disable browser yako isiload picha automatically. hapo pages zitaload haraka zaidi na utamaliza mwezi mzima bila hata kufikia nusu. natumia kuanzia saa 12 jioni mpaka saa sita usiku ninapolala. a maximum of 15mb. ila sidownload mafaili na updates zote nimefunga. very happy with that
 
Mimi niseme nna bahati mbaya na cheka internet. Zaidi ya mara tatu nikituma 'cheka internet' napokea confirmation, cha ajabu hela inaendelea kutumika! Mfano juzi ijumaa nilijiunga, nimefungua viji page vichache kwn simu kuja kucheki salio la airtime limeisha. Kuulizia 'balancedata' naambiwa 'kwa sasa hauna kifurushi cha data' kali zaidi jana usiku napokea msg 'your data bundle has depleted' wakati sikujiunga!
 
ishu hapa siyo bundle wala nini...ishu ni wizi...mnatuchanganya na hizo lugha hakuna lolote!...mi hiyo bundle ilikwishaga in no time bila ya kudownload wala kuitumia extensively.....sijanunua tena airtime yao....wala sijui modem niliitupia wapi...dah mi nilishashindwaga na hawa jamaa!!


nakupa ushauri mmoja rahisi sana....angalia kwenye laptop yako au pc...analia automatic update zikiwa on hata uweke nini itakula tu...kuna ant virus update online na applic kibaoo sanaaaa
 
Ki ukweli hawa hawasingiziwi ila ninachowaza sio makampuni au watendaji wakuu wanaofanya hayo ila vibaka wenye taaluma ya kuchomekea ku edit kama wakati flani voda walituma sms za kutohusika na sms walizotumiwa wateja toka vituo vyao any way nchi hii inahitaji kuwajibishwa VIKALI kwa watendaji wake wote hayo ni mazao ya kiutawala.Wadau wenye uwezo fungueni makampuni kwa sana nasi tutachagua walio waadilifu zaidi
 
Back
Top Bottom