Re: VODACOM NA AIRTEL, INTERNET ISSUE

Kisendi

JF-Expert Member
Jan 29, 2009
699
178
Vodacom na Air tel, wanatuibia sana kwenye internet juzi nimeweka elfu 20 yangu hata haijakaa kwenye modem na sijadownload chochote??? KWELI HIZI KAMPUNI ZETU SIJUI KAMA TCRA WANAISAIDIA SERKALI AU WAPO TU MPAKA MTU AIBIWE SIMU
 
Vodacom na Air tel, wanatuibia sana kwenye internet juzi nimeweka elfu 20 yangu hata haijakaa kwenye modem na sijadownload chochote??? KWELI HIZI KAMPUNI ZETU SIJUI KAMA TCRA WANAISAIDIA SERKALI AU WAPO TU MPAKA MTU AIBIWE SIMU
Umewauliza......??? Na je kama ulifanya hivyo walikueleza nini.......???
 
Kwa vodacom ni lazima ufanye conversion kutoka airtime kwenda DATA BUNDLE nenda kwenye Message ya modem yako kama ni elfu elfu 20,000 andika 1GB tuma kwenda namba 123 kama ni 2000 andika 50MB kwenda same namba. ukikwama ni PM
 
Kwa vodacom ni lazima ufanye conversion kutoka airtime kwenda DATA BUNDLE nenda kwenye Message ya modem yako kama ni elfu elfu 20,000 andika 1GB tuma kwenda namba 123 kama ni 2000 andika 50MB kwenda same namba. ukikwama ni PM
Ishu hapa siyo bundle wala nini...ishu ni WIZI...mnatuchanganya na hizo lugha hakuna lolote!...mi hiyo bundle ilikwishaga in no time bila ya kudownload wala kuitumia extensively.....sijanunua tena airtime yao....wala sijui modem niliitupia wapi...dah mi nilishashindwaga na hawa jamaa!!
 
Hapo unaibiwa kwa kupenda mwenyewe. Tunazo option nyingi, zitumie
 
Wakati mwingine hilo tatizo usababishwa na application au operating systems kuji-update kwenye background, disable updat
 
Hawa jamaa ni wezi tu hizo bundle zenyewe ukiweka kufuangua JF home page 1 hr.
 
Hata mimi naunga mkono kwani nina modem ya Airtel nikiweka pesa hailast hata nikiconvert kwenda kwenye Data Bundle inaisha upesi na ukiwapigia unakaa zaidi ya saa hawapokei.
 
Hawa jamaa ni wezi tu hizo bundle zenyewe ukiweka kufuangua JF home page 1 hr.

Mkuu unachokisema sio sahihi, mbona mi natumia data card ya vodacom na charges zao ni reasonable sana! Mambo mengine mna exaggerate wakuu, kwa zaidi ya miezi 5 natumia data card ya mambo ni mswano tu.

Mimi si mtaalamu wa mambo ya IT na Computer, lakini my internet is fast. Kama kufungua JF home page ni mwendo wa visekunde viwili au vitatu tu. Jaribu kuwa consult wataalam wa IT wakwambie tatizo ni nini katika computer yako!!
 
tumieni voda.....mimi natumia simu yangu kama moderm kwa kuunganisha kwa laptop yangu via USB au BLUETOOTH
 
Ishu hapa siyo bundle wala nini...ishu ni WIZI...mnatuchanganya na hizo lugha hakuna lolote!...mi hiyo bundle ilikwishaga in no time bila ya kudownload wala kuitumia extensively.....sijanunua tena airtime yao....wala sijui modem niliitupia wapi...dah mi nilishashindwaga na hawa jamaa!!
daaaaaaaah umewakomesha kweli, Airtel wako safi nina karibu miezi mitatu sasa natumia sem iko slow wakati mwingine.....
 
Sasa tutumie mtandao upi? wanaotumia zantel watuhabarishe hali ikoje huko.
kama unataka speed tumia Voda na kama unataka urahisi tumia Airtel maana kama siyo mtumiaji sana wa net unaweza kulipa 2500 unapata 400MB na zikiisha unaweza kuongeza saa yoyote siku yoyote.....
 
Inategemea na matumizi, kwangu mimi, the cheapest bundle (btn Tshs 500-5000) ni airtell 400Mb kwa Tshs 2500. Tena unaweza ku monitor matumizi yako vizuri tu, kupata hizo 400Mb (zinalast one month) tuma neno "INTERNET" kwenda 15444. Wakati wowote wakati unatumia bundle yako ukitaka kujua balance yako ya data, tuma neno "SALIO" kwenda 15444. Very easy.

 
Mie ni mshabiki wa hizi bundels, bei zinafanana kiasi, tofauti ni ndogo tu. Ila tatizo kama mie ninaetumia simu kama modem, bundel inapoisha bila kujua, inaendelea kutumia credit yangu ya kawaida, hii ni ghali sana.
Huwa nacheki mara kwa mara ili isitokee.
mfano wa bei ni: Internet Bolt-on bundles: 50MB at Tsh2,000, 250MB at Tsh10,000, 500MB at Tsh20,000, 1GB at Tsh40,000.
Hakuna ushabiki wala nini.
Matumizi ya hela zako na zangu zote zitaishia kwa wafanyabiashara wa aina moja au nyingine. Hasira hazisaidii.
Jifunze ufaidike, ukitumia njia hii hutaenda internet cafe hata siku moja,
mie hapa natumia hizi bundela pamoja na watoto wote na nimeridhika wala sio fisadi wala nini.

ni bei rahisi sana
 
Kwa vodacom ni lazima ufanye conversion kutoka airtime kwenda DATA BUNDLE nenda kwenye Message ya modem yako kama ni elfu elfu 20,000 andika 1GB tuma kwenda namba 123 kama ni 2000 andika 50MB kwenda same namba. ukikwama ni PM
hivi, nikitaka kuweka cheka internet kama ishirini kwa wakati mmoja inawezekanaje? yaani nisiwe na haja ya kutuma sms "CHEKA INTERNET" mara 20. (20Mb*20 = 400MB) kwa shilingi 10,000!
 
hivi, nikitaka kuweka cheka internet kama ishirini kwa wakati mmoja inawezekanaje? yaani nisiwe na haja ya kutuma sms "CHEKA INTERNET" mara 20. (20Mb*20 = 400MB) kwa shilingi 10,000!

ndugu jifunze kusoma nakuelewa hapo juu wamekujibu kabla ya kiswali chako. nunua bandle ya 50mb kwa buku 2, soma na uelewe mkuu.
 
ndugu jifunze kusoma nakuelewa hapo juu wamekujibu kabla ya kiswali chako. nunua bandle ya 50mb kwa buku 2, soma na uelewe mkuu.
How, nipe procedure, message kwenda 123 other than cheka internet inarudisha error, nili research kabla sijaulizwa swali
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom