Sijakuelewa kama unaongelea Network Lock ama IT policy password lock?
IT password lock inakuwa kuna picha kama ya kufuli na uki-press key yoyote inakwambia something like enter password?
Njia sahihi ya kuifungua network lock inabidi upitie process ya ku-type MEP na MEP2 ndio unapata option ya 'enter network MEP
code' kisha ndio unaweka code yako ambayo inakuwa na kama nambari 16.
Nijuavyo mimi hii inakupa 3 attempts kabla ya kuji-lock.
Anyway mimi nafikiri umejaribu IT password policy lock, ila nataka kuhakikisha hii ndio issue yenyewe? kila jaribio 3
wanakwambia "enter the word 'blackberry' to continue"?
iwapo ulijaribu Network unlocking codes mara 10 na kushindwa simu yako itakuwa imerudi kwenye original carrier na huwezi kuifungua tena,
unachoweza kufanya ni kutumia sim card ya original network carrier,kama hata ukijaribu hiyo na kupata message ya 'invalid sim
card' hii itakuwa simu yako huko ilipotoka walishadai Insurance.
Kama ninavyofikiri mimi ni sawa (IT policy password lock) basi fuata maelezo haya:
1. Ondoa sim na memory card, endelea na hiyo last attempt (hakikisha betri iko na chaji ya kutosha) simu yako ita-wipe
files/documents zote na ku-restore into factory setting, lakini password itabaki palepale na simu bado itakuwa inafanya kazi
kama kawaida.
2 Hatua inayofuata ni kufuta hii IT password policy inabidi utumie JL_Cmdr (Download) na kufuata maelezo hapa:
Remove an I.T. Policy from a BlackBerry... - BlackBerry Forums at CrackBerry.com
Baada ya kuondoa IT policy unaweza kuendelea kununua Network unlocking code link ya ebay nimeweka hii hapa:
Unlock Code for 9700 9520 9500 8900 8520 9000 | eBay UK and follow instruction.
Simu yako itakuwa unlocked.