Ahaa ni kwamba mtu tu anaona kama nahitaji sana ujio wao hapana just if someone akitaka sio lazima watu ni wazima ila wanakashfa meaning inside here wapo watotoDada una shida gani? Nimetoka kucomment uzi wako wa jana unatafuta marafiki...hawajaja mpaka umefungua mwingine?
Hizi self karantini kuna watu zitawaletea sonona
Wewe puto nitafute basi kwa gharama yoyote ile. (Usipuuze)Umeandika kwa jazba enwei wanakuja.
Sistaa mimi mwenyewe napenda marafiki wa kike na nipo Arusha kama uzi wako ulivyotaka. Sasa basi tuwe marafiki au unaonaje?Ahaa ni kwamba mtu tu anaona kama nahitaji sana ujio wao hapana just if someone akitaka sio lazima watu ni wazima ila wanakashfa meaning inside here wapo watoto
Nifanye niwe rafiki yako..😉Mimi ni mwanamke na sio mwanaume kuhitaji urafiki sio lazima muwe wanaume pekee yenu kwa manaa mna dhani mimi ni mwanaume sijui shoga no.
Mimi mwanamke nakuomba kuwa rafiki wamtu sio mbaya kwani ni ombii.
Kama mtu hataki sio lazima
Chai Haina sukar pleaseMimi ni mwanamke na sio mwanaume kuhitaji urafiki sio lazima muwe wanaume pekee yenu kwa manaa mna dhani mimi ni mwanaume sijui shoga no.
Mimi mwanamke nakuomba kuwa rafiki wamtu sio mbaya kwani ni ombii.
Kama mtu hataki sio lazima
Corona hii wanaume BadoDada una shida gani? Nimetoka kucomment uzi wako wa jana unatafuta marafiki...hawajaja mpaka umefungua mwingine?
Hizi self karantini kuna watu zitawaletea sonona
Unataka kuanzia miaka ngapi dadaAhaa ni kwamba mtu tu anaona kama nahitaji sana ujio wao hapana just if someone akitaka sio lazima watu ni wazima ila wanakashfa meaning inside here wapo watoto
Mpeleke cocobeach mkuuHivi inakuwaje unatafuta marafiki hapa jf kwa zaidi ya siku kadhaa haupati? Tena wewe ni mwanamke?
Hii inatia shaka!
Mpaka mashoga wanapata marafiki, sasa wewe tangia juzi unatafuta tu hupati?
Haya covidWewe puto nitafute basi kwa gharama yoyote ile. (Usipuuze)
Maley, come faster.Haya covid
😁😂😂😂😂😂 sio sipati watu wakoo wengi ila kina comment za upuuzi zinakukeraHivi inakuwaje unatafuta marafiki hapa jf kwa zaidi ya siku kadhaa haupati? Tena wewe ni mwanamke?
Hii inatia shaka!
Mpaka mashoga wanapata marafiki, sasa wewe tangia juzi unatafuta tu hupati?
Anzisha wewe urafiki sio lazima ufatwe. PM mtu unayetaka nae urafiki.Ahaa ni kwamba mtu tu anaona kama nahitaji sana ujio wao hapana just if someone akitaka sio lazima watu ni wazima ila wanakashfa meaning inside here wapo watoto
OpportunistSistaa mimi mwenyewe napenda marafiki wa kike na nipo Arusha kama uzi wako ulivyotaka. Sasa basi tuwe marafiki au unaonaje?