Wadau, kuna mtu anaifahamu hii kampuni GEMMY TRADING LLC. Sijawahi kufanya kazi nao
ninataka kununua gari toka kwao, halafu ile pay trade inafanyaje kazi, supplier anasema nikitumia paytrade ana nicharge usd 350 more, je hiyo ni kawaida.
Naona muongozo...
ninataka kununua gari toka kwao, halafu ile pay trade inafanyaje kazi, supplier anasema nikitumia paytrade ana nicharge usd 350 more, je hiyo ni kawaida.
Naona muongozo...