MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Wakuu habari za leo,
Nimeona na kusikia nchi mbalimbali zimekuwa zikiteketeza nyara zake kama vile meno ya tembo, pembe za faru, ngozi za chui n.k. mfano wa nchi hizo ni Malawi na Kenya, sasa nimekuwa ninajiuliza ni kwa nini Serikali yetu haionyeshi hata dalili za kuwa na nia ya kuiga mfano huu mzuri ili kuonyesha kuwa inachukizwa na vitendo hivi kama ambavyo nchi zingine zimekuwa zikifanya, au kuna mpango wa Serikali kuja kufanya biashara hiyo siku za baadaye?, naomba tujadili
Nimeona na kusikia nchi mbalimbali zimekuwa zikiteketeza nyara zake kama vile meno ya tembo, pembe za faru, ngozi za chui n.k. mfano wa nchi hizo ni Malawi na Kenya, sasa nimekuwa ninajiuliza ni kwa nini Serikali yetu haionyeshi hata dalili za kuwa na nia ya kuiga mfano huu mzuri ili kuonyesha kuwa inachukizwa na vitendo hivi kama ambavyo nchi zingine zimekuwa zikifanya, au kuna mpango wa Serikali kuja kufanya biashara hiyo siku za baadaye?, naomba tujadili