Ni nini hasa kazi ya certified copies za certificates?

Ni nini hasa kazi ya certified copies za certificates?

singojr

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2014
Posts
5,314
Reaction score
6,896
Kuna jambo huwa silielewi huwa na mkakati wa hawa watu wa sheria kupiga pesa au ni ukiritimba wa serikali?

Ukiwa unajiunga chuo unaenda na certified copy ya form 4 na result slip.

Ukiwa unaapply kazi serikalini unatakiwa kuattach certified copies lasivyo unatemwa.

Huwa kazi ya hizi copy ni nini? Je hao wanasheria wanatumia vigezo gani kuhakiki vyeti?

Maana wengi wanapelekewa tu copies wanagonga mihuri kwa buku 5-20.

Serikali inaweza kulink mifumo yake na necta kupata matokeo halisi kwanini mpaka watu waattach copies?

Huko sio kuwaongezea vijana wanaotaabika na ajira gharama zingine na usumbufu?
 
kwakua huwezi kumpa kila mtu nyaraka halisi (origional)

Basi ni vyema ukapeleka copy ambayo imethibitishwa kuwa imetokana na nyaraka halisi.

Wakili ni mmoja wapo wa watu waliopewa mamlaka ya kushuhudia viapo.

Hivyo kwa kugonga mhuri wake anathibitisha kwamba nakala hiyo imetokana na nyaraka halisi. (Certified copy of origional)
 
kwakua huwezi kumpa kila mtu nyaraka halisi (origional)

Basi ni vyema ukapeleka copy ambayo imethibitishwa kuwa imetokana na nyaraka halisi.

Wakili ni mmoja wapo wa watu waliopewa mamlaka ya kushuhudia viapo.

Hivyo kwa kugonga mhuri wake anathibitisha kwamba nakala hiyo imetokana na nyaraka halisi. (Certified copy of origional)

Kwanini nisimpe copy tuu maana mwisho wa siku watahitaji pia kuona vyeti halisi.
 
Sasa pale atashikwa mimi au mwanasheria aliyeweka muhiri. Na ninani anayehakiki kuwa aliyesaini ni mwanasheria kweli sio nimeokota muhuri?
Mwanasheria anatakiwa kuthibitisha copy kwa nakala halisi ( copy against origional)

Hivyo wajibu wake yeye ni kusema nakala hii inafanana na orijino.

Sasa kama orijino ni feki basi aliyeleta cheti feki anatiwa hatiani na wakili anakua shahidi kuja kusema kwamba niliona cheti halisi.
 
Ni utaratibu flani outdated hivi , haya mavyeti hayakupaswa ku upload hovyo hovyo au kuzunguka nayo... ilitakiaa kuwa na system za necta, nacte na Tcu ziwe na information zote za courses za mwanafunzi husika ... wana zi link na website za ajira portal ,tamisemi ...etc.


Ni kama vile namba ya nida (NIN) inavyotunza taarifa za mtanzania .. ikiingiza hizo NiN zinalrta taarifa kwenye system unayotumia mfano brela ,tra, tcra, Napa (anuani za makazi) etc
 
Ni utaratibu flani outdated hivi , haya mavyeti hayakupaswa ku upload hovyo hovyo au kuzunguka nayo... ilitakiaa kuwa na system za necta, nacte na Tcu ziwe na information zote za courses za mwanafunzi husika ... wana zi link na website za ajira portal ,tamisemi ...etc.


Ni kama vile namba ya nida (NIN) inavyotunza taarifa za mtanzania .. ikiingiza hizo NiN zinalrta taarifa kwenye system unayotumia mfano brela ,tra, tcra, Napa (anuani za makazi) etc
Sio outdated bado unatumika tu duniani huko.
 
Uko sahihi, nina stress zangu za simba
Pole mkuu usichukulie sana maswala ya mpira serious na hasa wa hizi timu zetu.

Mimi pia ni shabiki wa Simba lakini nashukuru nimeshatoka huko kwenye kuumia pale inaposhindwa.

Wewe chukulia kawaida tu wakishinda iwe kama bonus tu wakifungwa sawa.

Maana hizi timu zetu hizi bado sana kufikia viwango vya kimataifa.
 
Kwenye ajira za serikali ni ukiritimba tu na kujaribu kuwakwamisha baadhi ya watu.

Kabla ya kuajiliwa vyeti vinapelekwa kuhakikiwa NECTA na taasisi nyingine zilizotoa vyeti hivyo.

Hivyo kudai certified copies ni upuuzi usiomithikika
Mpaka unaajiriwa si tayari ushafanya usaili? Sasa unaombaje kazi bila nakala certified?
 
Kuna jambo huwa silielewi huwa na mkakati wa hawa watu wa sheria kupiga pesa au ni ukiritimba wa serikali?
Ukiwa unajiunga chuo unaenda na certified copy ya form 4 na result slip.
Ukiwa unaapply kazi serikalini unatakiwa kuattach certified copies lasivyo unatemwa.
Huwa kazi ya hizi copy ni nini? Je hao wanasheria wanatumia vigezo gani kuhakiki vyeti?
Maana wengi wanapelekewa tu copies wanagonga mihuri kwa buku 5-20.
Serikali inaweza kulink mifumo yake na necta kupata matokeo halisi kwanini mpaka watu waattach copies?
Huko sio kuwaongezea vijana wanaotaabika na ajira gharama zingine na usumbufu?
Psrc njoono toeni majibu apa
 
Mwanasheria anatakiwa kuthibitisha copy kwa nakala halisi ( copy against origional)

Hivyo wajibu wake yeye ni kusema nakala hii inafanana na orijino.

Sasa kama orijino ni feki basi aliyeleta cheti feki anatiwa hatiani na wakili anakua shahidi kuja kusema kwamba niliona cheti halisi.

Wamepitia course gani kujua vyeti halisi na bandia?
 
Back
Top Bottom