maji yana ladha ya chimvi hayo wanakunywa watu wa tandale tu
Kwenye msafara wa mamba na kenge wamo! mtu kama wew utapata wapi hela ya kunywa maji ya kiwandani!
Wewe lazima utakua unakunywa viroba kama mbadala ya maji!;
Uhai ni maji bora kabisa hapa Tanganyika.
Kiongozi Tanganyika ni wapi??!!??
Haya maji mazuri sana ila hayafiki dar
maji bora p.h 7.9 ...?
wengi tunatumia bidhaa bila kufuatilia vitu vya mmsingi, bora ninywe yale ya zamani ila sihaya mnayosema mapya,
maji ni more alkaline hayakati kiu, utakunywa na kunywa bila kukata kiu,
Wanabodi,
Hii re branding waliofanya kampuni ya maji ya kunywa ya chupa ya UHAI nimeikubali, kuanzia packaging design hadi labbelling, kwa sasa angalau hii brand inaweza kuvuka mipaka.
Hayo maji yapo sana sumbawanga na katavi!!
Hivi yanasambaa sana?
Sijayaona huku Namtumbo
Brightdeemed nenda kasome product life cycle, marketing strategies zinakuwaje kwenye decline stage halafu ndo uje uchangie!