Ahmet
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,537
- 3,404
Vip wadau,
Hivi hili suala la kazi kutangazwa upya (re-advertisement) linamaanisha nini?
Ni kweli waombaji wanakuwa hamna au wapo lakini hawana sifa?
Na mbona hizi nafasi zinazotangazwa zina wahitimu kibao wenye ufaulu nzuri tu?
View attachment 2025109
Hivi hili suala la kazi kutangazwa upya (re-advertisement) linamaanisha nini?
Ni kweli waombaji wanakuwa hamna au wapo lakini hawana sifa?
Na mbona hizi nafasi zinazotangazwa zina wahitimu kibao wenye ufaulu nzuri tu?
View attachment 2025109