Soma Hii Kama Unataka Kujua MBINU Waliyotumia “Milk Duds” Kutawala Soko La PIPI Marekani!

Seif Mselem

JF-Expert Member
Oct 16, 2023
257
441
Kama umekuwa ukitafuta Mbinu ya kutawala Soko La biashara yako ili uweze Kuuza zaidi basi Soma hiki…
.
Kilichofanywa na hawa “Milk Duds” huko Nchini…
.
Marekani!
.
ILA…
.
Kabla Sijakwambia Chochote naomba kwanza Nikurudishe nyuma Kidogo…
.
…Miaka ya 1920’s nchini Marekani…
.
Ramsi ilitambulishwa bidhaa Mpya ya Pipi ijulikanayo kama…
.
“Milk Duds”
.
Na…
.
Kwa muda mfupi Tu Milk Duds ilijitengenezea Sifa ya kuwa kama ni…“PIPI za Movie”
.
(Candy Movie)!
.
Yaani…
.
Kipindi watu Wakienda kucheki Movie walikuwa wakizitumia kama Ilivyo kwa huku kwetu…Popcorn!
.
Na…zilikuwa Zinakuja na tu box twake Kabisa twenye rangi ya Njano na brown…
.
Kwahiyo…vijana wengi wa Miaka hiyo ziliwavutia sana!
.
Na…ilikuwa ni BRAND ukionekana unakula hizo Pipi!
.
Basi bhana…
.
Baada ya muda Kampuni ilipanga kutanua Soko lake ili Iweze kumfikia kila Kijana pale Marekani…
.
Na…
.
Kama nyie Wataalamu Mnavyosema kwamba…
.
Ukitaka kufanya “POSITIONING” Sokoni kitu cha kwanza Unaanza kuangalia kwenye…
.
AKILI ya Mteja!
.
Kwasababu…kabla Hujaanzisha Soko lako Kichwani kwa Mteja tayari kuna Washindani zako waliowahi mapema Washachukua nafasi hiyo…
.
Kwahiyo…ili Mteja aweze kumsahau Mshindani wako basi Inabidi ujue kitu gani Kinakosa kwenye Akili yake then Wewe ndio Unatembea nacho…
.
Na…
.
Hapo ndipo Milk Duds walipoanza Kujiuliza swali hili ambalo 99% ya Wajasiliamali wengi huwa Hawajiulizi kabla ya Kuingia Sokoni…
.
Unajua ni Swali Gani Hilo?..
.
Okay…
.
Angalia Hapa Chini…
.
Walijiuliza…
.
“Nani ni Mteja wa Pipi za Milk Duds?”
.
Na…
.
Majibu yakaja kwamba SIO Mtoto mdogo kabisa Asijyejua chochote Kuhusu pipi bali ni…Kijana mdogo ambaye ameshatembelea Maduka ya Pipi za ya mara Kumi Akitafuta Pipi nzuri…
.
Yaani…mteja wa Milk Duds ni kijana mdogo mwenye Umri kati ya miaka 10 hadi 19…
.
Amabaye anakuwa na Tahadhari na Mashaka pindi anaponunua Pipi zake…
.
Kwahiyo Kampuni ya Milk Duds tayari Ilikuwa ishamjua…Mteja waje Mtarajiwa!
.
Kitaalamu Anaitwa… “Dream Buyer Avatar”
.
(Huu ni UZI wa Siku Ingine wa Jinsi ya Kumjua Mteja wako Mtarajiwa)!
.
Na…
.
…hata Ungeenda kumuuliza Kijana mdogo juu ya Pipi za Milk Buds basi Asingekuwa anazijua…
.
Kwasababu…tayari kulikuwa na Kampuni zingine kubwa na zinazofanya Vizuri Zaidi ya hiyo kwa Kipindi hicho…
.
Mfano… Almond Joys, Hersheys, Mounds, Reeses, Snickers n.k
.
Kwahiyo…walikuwa hawawezi Kushindana na Brand kubwa kama hizo hasa Linapokuja kwenye swala la Matangao…
.
Milk Duds walikuwa na Budget ndogo ukilinganisha na Washindani zake…
.
Kwahiyo…
.
Njia pekee iliyobaki ya kuiweka Milk Duds kwenye AKILI ya wale Vijana ilikuwa ni Kufanya kitu Kinaitwa…
.
“RE-POSITIONING”
.
Okay… Nini maana ya Re-Positioning?..
.
Unaweza Kujiuliza…
.
Okay… Angalia Maana yake hapa Chini…
.
Re-Positioning ni…ile hali Jinsi biashara Inavyobadilisha nafasi ya BRAND yake Sokoni huku ikiendelea Kudumisha Utambulisho wake kama kawaida…
.
Yaani…
.
Badala ya kubadilisha Jina la Biashara yako kabisa na kuja na Kitu Kipya…wewe Unabadili…
.
Jinsi bidhaa yako Inavyotengenezwa…
.
Unabadili Bei ya bidhaa yako Sokoni…
.
Unabadili Location ulipokuwa Unafanyia kazi…
.
Jinsi unavyotangaza Bidhaa au Huduma yako…
.
n.k…
.
Mfano…
.
Badala ya kutangaza Nafasi za shule kwa Mazazi una Tangaza kwa Mtoto ili mtoto akamshawishi Mzazi kumpeleka hiyo shule…
.
Kwa mtu ambaye anauza Midoli na Vitu vya Watoto atakuwa kishanielewa kwasababu…
.
Kwenye hilo Soko huwa Hatumtangazii Mzazi…bali Unamtangazia mtoto (Mlengwa) ili akamshawishi Mzazi amnunulie hicho Kitu…
.
Kwenye Advertisement Huwa Tunasema… “You Change an Ads Angle”
.
Kwahiyo…
.
Kwenye Repositioning huwa…Tunabadili ile “PERCEPTION” kwa Wateja wetu ila Biashara inabakia kuwa ile ile…
.
Mfano mzuri Ukiona…bidhaa/huduma Imebadilishwa Package au Bei yake jua wanafanya Repositioning…
.
Hii unaweza Kuiona haraka kwenye Vinywaji vingi hasa hasa hapa Bongo…
.
Kwahiyo…
.
Milk Duds na wao waliamua kufanya Kitu…unajua Walifanya Kitu gani?..
.
Kwasababu…
.
Kulikuwa na udhaifu kutoka kwa Watengenezaji wengine wa Pipi kwamba…Pipi nyingi zilikuwa zina…
.
Size Ndogo na Shape mbaya…huku Mdomoni hazichukui hata Sek 2.3 zinakuwa zimeisha…Milk Duds walijua hili Litakuwa ni Gap la wao kupitia…
.
Na…
.
Hapo ndipo Kampuni ya Pipi za Milk Duds ilipoamua kuja na…
.
Pipi ambazo zinafungwa kwenye ki Box kidogo badala ya package ya Karatasi na zenye Size kubwa na Shape ya Duara ambazo mtumiaji anaweza Kuzimumunya kwa Muda Mrefu!
.
Guess What Happened to the Market…
.
FINITOOOO!
.
Na…
.
Huo ndio ukawa Mwazo wa hizo Pipi kuwepo hadi Leo hii…
.
Kwahiyo…
.
Unaweza ukaona ni Jinsi gani ukifanya “Repositioning” unaweza Kuwaliza Washindani zako…
.
Na…
.
Ukitaka kuona hiki Kitu kwa Uzuri Zaidi…Angalia hizi JOJO Kubwa za mia mia Zilivyolifanya Soko La…
.
BIG G hapa Bongo…zile Big G ndogo Sizioni kabisa Sikuizi…
.
Kwahiyo…
.
Kazi imebaki kwako ya Kwenda kumnyoosha Mshindani wako…Au Sio?
.
Hahahaaa…
.
Anyway…
.
I Hope Umejifunza Kitu Kipya…
.
Uwe na Jumatatu NJEMA Mpambanaji Mwenzangu.
.
Gracias…
.
Seif Mselem
 
Kama umekuwa ukitafuta Mbinu ya kutawala Soko La biashara yako ili uweze Kuuza zaidi basi Soma hiki…
.
Kilichofanywa na hawa “Milk Duds” huko Nchini…
.
Marekani!
.
ILA…
.
Kabla Sijakwambia Chochote naomba kwanza Nikurudishe nyuma Kidogo…
.
…Miaka ya 1920’s nchini Marekani…
.
Ramsi ilitambulishwa bidhaa Mpya ya Pipi ijulikanayo kama…
.
“Milk Duds”
.
Na…
.
Kwa muda mfupi Tu Milk Duds ilijitengenezea Sifa ya kuwa kama ni…“PIPI za Movie”
.
(Candy Movie)!
.
Yaani…
.
Kipindi watu Wakienda kucheki Movie walikuwa wakizitumia kama Ilivyo kwa huku kwetu…Popcorn!
.
Na…zilikuwa Zinakuja na tu box twake Kabisa twenye rangi ya Njano na brown…
.
Kwahiyo…vijana wengi wa Miaka hiyo ziliwavutia sana!
.
Na…ilikuwa ni BRAND ukionekana unakula hizo Pipi!
.
Basi bhana…
.
Baada ya muda Kampuni ilipanga kutanua Soko lake ili Iweze kumfikia kila Kijana pale Marekani…
.
Na…
.
Kama nyie Wataalamu Mnavyosema kwamba…
.
Ukitaka kufanya “POSITIONING” Sokoni kitu cha kwanza Unaanza kuangalia kwenye…
.
AKILI ya Mteja!
.
Kwasababu…kabla Hujaanzisha Soko lako Kichwani kwa Mteja tayari kuna Washindani zako waliowahi mapema Washachukua nafasi hiyo…
.
Kwahiyo…ili Mteja aweze kumsahau Mshindani wako basi Inabidi ujue kitu gani Kinakosa kwenye Akili yake then Wewe ndio Unatembea nacho…
.
Na…
.
Hapo ndipo Milk Duds walipoanza Kujiuliza swali hili ambalo 99% ya Wajasiliamali wengi huwa Hawajiulizi kabla ya Kuingia Sokoni…
.
Unajua ni Swali Gani Hilo?..
.
Okay…
.
Angalia Hapa Chini…
.
Walijiuliza…
.
“Nani ni Mteja wa Pipi za Milk Duds?”
.
Na…
.
Majibu yakaja kwamba SIO Mtoto mdogo kabisa Asijyejua chochote Kuhusu pipi bali ni…Kijana mdogo ambaye ameshatembelea Maduka ya Pipi za ya mara Kumi Akitafuta Pipi nzuri…
.
Yaani…mteja wa Milk Duds ni kijana mdogo mwenye Umri kati ya miaka 10 hadi 19…
.
Amabaye anakuwa na Tahadhari na Mashaka pindi anaponunua Pipi zake…
.
Kwahiyo Kampuni ya Milk Duds tayari Ilikuwa ishamjua…Mteja waje Mtarajiwa!
.
Kitaalamu Anaitwa… “Dream Buyer Avatar”
.
(Huu ni UZI wa Siku Ingine wa Jinsi ya Kumjua Mteja wako Mtarajiwa)!
.
Na…
.
…hata Ungeenda kumuuliza Kijana mdogo juu ya Pipi za Milk Buds basi Asingekuwa anazijua…
.
Kwasababu…tayari kulikuwa na Kampuni zingine kubwa na zinazofanya Vizuri Zaidi ya hiyo kwa Kipindi hicho…
.
Mfano… Almond Joys, Hersheys, Mounds, Reeses, Snickers n.k
.
Kwahiyo…walikuwa hawawezi Kushindana na Brand kubwa kama hizo hasa Linapokuja kwenye swala la Matangao…
.
Milk Duds walikuwa na Budget ndogo ukilinganisha na Washindani zake…
.
Kwahiyo…
.
Njia pekee iliyobaki ya kuiweka Milk Duds kwenye AKILI ya wale Vijana ilikuwa ni Kufanya kitu Kinaitwa…
.
“RE-POSITIONING”
.
Okay… Nini maana ya Re-Positioning?..
.
Unaweza Kujiuliza…
.
Okay… Angalia Maana yake hapa Chini…
.
Re-Positioning ni…ile hali Jinsi biashara Inavyobadilisha nafasi ya BRAND yake Sokoni huku ikiendelea Kudumisha Utambulisho wake kama kawaida…
.
Yaani…
.
Badala ya kubadilisha Jina la Biashara yako kabisa na kuja na Kitu Kipya…wewe Unabadili…
.
Jinsi bidhaa yako Inavyotengenezwa…
.
Unabadili Bei ya bidhaa yako Sokoni…
.
Unabadili Location ulipokuwa Unafanyia kazi…
.
Jinsi unavyotangaza Bidhaa au Huduma yako…
.
n.k…
.
Mfano…
.
Badala ya kutangaza Nafasi za shule kwa Mazazi una Tangaza kwa Mtoto ili mtoto akamshawishi Mzazi kumpeleka hiyo shule…
.
Kwa mtu ambaye anauza Midoli na Vitu vya Watoto atakuwa kishanielewa kwasababu…
.
Kwenye hilo Soko huwa Hatumtangazii Mzazi…bali Unamtangazia mtoto (Mlengwa) ili akamshawishi Mzazi amnunulie hicho Kitu…
.
Kwenye Advertisement Huwa Tunasema… “You Change an Ads Angle”
.
Kwahiyo…
.
Kwenye Repositioning huwa…Tunabadili ile “PERCEPTION” kwa Wateja wetu ila Biashara inabakia kuwa ile ile…
.
Mfano mzuri Ukiona…bidhaa/huduma Imebadilishwa Package au Bei yake jua wanafanya Repositioning…
.
Hii unaweza Kuiona haraka kwenye Vinywaji vingi hasa hasa hapa Bongo…
.
Kwahiyo…
.
Milk Duds na wao waliamua kufanya Kitu…unajua Walifanya Kitu gani?..
.
Kwasababu…
.
Kulikuwa na udhaifu kutoka kwa Watengenezaji wengine wa Pipi kwamba…Pipi nyingi zilikuwa zina…
.
Size Ndogo na Shape mbaya…huku Mdomoni hazichukui hata Sek 2.3 zinakuwa zimeisha…Milk Duds walijua hili Litakuwa ni Gap la wao kupitia…
.
Na…
.
Hapo ndipo Kampuni ya Pipi za Milk Duds ilipoamua kuja na…
.
Pipi ambazo zinafungwa kwenye ki Box kidogo badala ya package ya Karatasi na zenye Size kubwa na Shape ya Duara ambazo mtumiaji anaweza Kuzimumunya kwa Muda Mrefu!
.
Guess What Happened to the Market…
.
FINITOOOO!
.
Na…
.
Huo ndio ukawa Mwazo wa hizo Pipi kuwepo hadi Leo hii…
.
Kwahiyo…
.
Unaweza ukaona ni Jinsi gani ukifanya “Repositioning” unaweza Kuwaliza Washindani zako…
.
Na…
.
Ukitaka kuona hiki Kitu kwa Uzuri Zaidi…Angalia hizi JOJO Kubwa za mia mia Zilivyolifanya Soko La…
.
BIG G hapa Bongo…zile Big G ndogo Sizioni kabisa Sikuizi…
.
Kwahiyo…
.
Kazi imebaki kwako ya Kwenda kumnyoosha Mshindani wako…Au Sio?
.
Hahahaaa…
.
Anyway…
.
I Hope Umejifunza Kitu Kipya…
.
Uwe na Jumatatu NJEMA Mpambanaji Mwenzangu.
.
Gracias…
.
Seif Mselem
Umegoma kujibadlisha bro. Uandishi ni mbaya sana . Ungekuwa unarekodi tu audio instead of writing. I told you last time , nikajua utajirekebisha mzee baba.
 
Umegoma kujibadlisha bro. Uandishi ni mbaya sana . Ungekuwa unarekodi tu audio instead of writing. I told you last time , nikajua utajirekebisha mzee baba.
Vumilia Mapungufu yangu Brother...
 
Hahaaaa... My Brother IT Pro! Acha Tuishi Kaka Swala La Muandiko Alaumiwe Mwalimu wangu wa Chekechea
Unakaza kichwa tu, mada uliyoleta wewe mwenyewe huielewi au huifanyii kazi au ujeuri uleule.
Hujui kujiposition, hujui unazungumzia mada zipi na hadhira yako ni ipi. Unazungumzia biashara na marketing maana yake mtu anayekuja kusoma uzi wako anajielewa alafu unaandika kama story ya matako makubwa kutoka Sinza ambayo hata vilaza watasoma.

Kuweka nukta hovyo na kuruka mistari sio kosa la mwalimu wako. Ni style yako mbaya
 
Unakaza kichwa tu, mada uliyoleta wewe mwenyewe huielewi au huifanyii kazi au ujeuri uleule.
Hujui kujiposition, hujui unazungumzia mada zipi na hadhira yako ni ipi. Unazungumzia biashara na marketing maana yake mtu anayekuja kusoma uzi wako anajielewa alafu unaandika kama story ya matako makubwa kutoka Sinza ambayo hata vilaza watasoma.

Kuweka nukta hovyo na kuruka mistari sio kosa la mwalimu wako. Ni style yako mbaya
Kwani Umeitwa Uje Kusoma Broh... Mbona Una PANIC?..
 
Back
Top Bottom