PreGE2025 RC Zanzibar ataka uhakiki wa Vitambulisho vya Kura kwa Watumishi wa umma

PreGE2025 RC Zanzibar ataka uhakiki wa Vitambulisho vya Kura kwa Watumishi wa umma

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Idrissa Kitwana Mustafa, amewataka watumishi wa umma wa mkoa huo kuwasilisha nakala za vitambulisho vyao vya kupigia kura mara zoezi la uhakiki litakapoanza.

1747031581357.png
Amesema hatua hiyo inalenga kubaini idadi ya watumishi wa serikali ambao hawakujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Vuga, mkuu huyo wa mkoa amesema kuwa baada ya uhakiki, kila mtumishi atarudishiwa kitambulisho chake papo hapo.
 
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Idrissa Kitwana Mustafa, amewataka watumishi wa umma wa mkoa huo kuwasilisha nakala za vitambulisho vyao vya kupigia kura mara zoezi la uhakiki litakapoanza.

Amesema hatua hiyo inalenga kubaini idadi ya watumishi wa serikali ambao hawakujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Vuga, mkuu huyo wa mkoa amesema kuwa baada ya uhakiki, kila mtumishi atarudishiwa kitambulisho chake papo hapo.
Inabidi wakipiga kura watume vidole vyao vyenye wino pia.
 
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Idrissa Kitwana Mustafa, amewataka watumishi wa umma wa mkoa huo kuwasilisha nakala za vitambulisho vyao vya kupigia kura mara zoezi la uhakiki litakapoanza.

Amesema hatua hiyo inalenga kubaini idadi ya watumishi wa serikali ambao hawakujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Vuga, mkuu huyo wa mkoa amesema kuwa baada ya uhakiki, kila mtumishi atarudishiwa kitambulisho chake papo hapo.
hii nchi ina mambo ya ajabu sana
 
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Idrissa Kitwana Mustafa, amewataka watumishi wa umma wa mkoa huo kuwasilisha nakala za vitambulisho vyao vya kupigia kura mara zoezi la uhakiki litakapoanza.

Amesema hatua hiyo inalenga kubaini idadi ya watumishi wa serikali ambao hawakujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Vuga, mkuu huyo wa mkoa amesema kuwa baada ya uhakiki, kila mtumishi atarudishiwa kitambulisho chake papo hapo.
Pia atasimamia watumishi wote wanaipigia kura CCM!

No Reforms No Election 🔥!
 
Je sheria inaruhusu ? Wakati jambo la kura ni hiari kupiga au kutopiga basi pia aende JESHINI awatake wafanye hivyo.
 
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Idrissa Kitwana Mustafa, amewataka watumishi wa umma wa mkoa huo kuwasilisha nakala za vitambulisho vyao vya kupigia kura mara zoezi la uhakiki litakapoanza.

Amesema hatua hiyo inalenga kubaini idadi ya watumishi wa serikali ambao hawakujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Vuga, mkuu huyo wa mkoa amesema kuwa baada ya uhakiki, kila mtumishi atarudishiwa kitambulisho chake papo hapo.
Ifike mbali zaid kila muda wa swala , vijana wasioingia msikitini waingizwe kwa nguvu na serekaki mjini unguja kama vile madina
 
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Idrissa Kitwana Mustafa, amewataka watumishi wa umma wa mkoa huo kuwasilisha nakala za vitambulisho vyao vya kupigia kura mara zoezi la uhakiki litakapoanza.
mgonjwa wa akili yule
 
Back
Top Bottom