mwamasangu
Member
- May 12, 2017
- 36
- 28
Duh wameamua kweli....mpaka majaji.
Nipe habari kamili mkuu ikiwezekana uweke source.uhuni aliyofanyiwa Mbunge wa Moshi pale Ikulu ndogo umemsononesha sana Mecky Sadick.
Kilimanjaro kuna nini mpaka aburuzwe?na Mecky Sadiki amechoshwa kuburuzwa.
sawa mkuuMeck sio mtu wa ovyo kama unavyodhani.. Huyo amepita mikoa migumu kama Mtwara na Lindi enzi zile za Mkapa huko kukiwa ni mafichoni mwa nchi. Kingine kama ni ukwasi anao wa kutosha tu, Kilimanjaro ilikuwa sehemu yake sahihi ya kupumzika sababu ni Mkoa wenye hali nzuri ya hewa, ulishaendelea hivyo changamoto ni chache na una watu wanaojielewa.. Meck kuna upuuzi tu umumuuzi ndio maana ameamua kuachia ngazi..
Msuya kajitumbua, fuatilia link post 304 hapo juu upate habari yake.Duh wameamua kweli....mpaka majaji.
Kabisa, nimefanya nae kazi alikpokuwa RC LindiMeki sadik huyuu mzee namkubali sana..
Kilimanjaro kuna nini mpaka Mecky Sadiki aburuzwe?
Mzee anataka kuwa karibu na wajukuu zake hapa Dar!
Ngoja ipelekwe damu changa kilimanjaro akanyooshe mkoa, type ya Makonda, Gambo ndo watafiti ule mkoa.
Hovyooo mwenyewe, koma kunizoea, tafuta mwanaume mwingine wa kumzoeaHamkosagi la kusema.... Kujiuzulu kuna sababu nyingi na zingine ni binafsi na sio lazima kila kitu kiwekwe hadharani. Mzindakaya alijiuzulu kutokana na matatizo ya kiafya, Sadiki nae ana sababu zake ambazo sio hizo unazojaribu kuzishabikia hapa..... Kila jambo mnaingiza siasa na kuchochea. Hovyooooo
Acha kumpaka Matope Jaji wetu mwanamke msomi. Nadhani ni sababu za Kiafya hasa baada ya kuondokewa na Mwanae Mpendwa kwa kifo cha utata huko Malaysia mwaka 2012. hata hivyo kupumzika ajira ni vizuri baada ya kulitumikia taifa muda mrefu.Huyo Upendo ana kashfa ya kula mlungula kwa kesi za watu wa "unga"
Nipe habari kamili mkuu ikiwezekana uweke source.
Nitashukuru sana
InasemekanaMzee Meck sadiki kuna kitu kimemuuzi sana, sio bure maana yule mzee ana busara na hekima sana
Hili jibu ni mahususi tena ni kiboko ya mabishoo.....Hovyooo mwenyewe, koma kunizoea, tafuta mwanaume mwingine wa kumzoea
Vipaumbele vimebadilika!Nimeona mkuu daaah sasa sababu ni nini hasa ??
Safi sanaAmelazimishwa kuvunja katiba mfano kupiga marufuku mikutano ya kisiasa ni kinyume kabisa na katiba inayotumika sasa