imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,036
inshallah mungu akujazie pasipo kukupimia!!ameen
inshallah mungu akujazie pasipo kukupimia!!ameen
Hongera sana.Jamani uongo mbaya tokea Mama atie timu nimeanza kuzishika na nimefungua akaunti mpya.
Wengi wao wana nguvu, hawafanyi kazi na wanazidi kuzaliana
Warudi makwao
Leo hii mnawageuka wanyonge 😂😂😂😂 kweli magufuli alikuwa kazungukwa na wachawi.Wengi wao wana nguvu, hawafanyi kazi na wanazidi kuzaliana
Warudi makwao
Zipo njia nyingi za kuwatoa na hawawezi kurudi tena mjini, ila zitakuwa za kudhalilisha utu. Waana harakati wa haki za binadamu watapata kazi ya kufanya.Hatoweza leo au kesho
Safi mama, toa hadi crankshaft limnagona....
Waanzishe tu kijiji cha ombaomba ekari kama elfu 5 kila omba omba akikamatwa popote Tanzania apelekwe huko akatiwe sehemu alime. Wanajeshi wetu watoe ulinzi kuhakikisha kutoroka haiwezekani. Baada ya miaka kadhaa hutaona omba omba mjini kwa hofu akikamatwa ataishia kijiji cha ombaomba.Hao jamaa huwa wanapelekwa kwao na kurudi, nauli wanazo, itafutwe njia itakayowafanya watulie wakifika kwao, kama ni kutunga sheria or whatever I don't know.
JOBO awalipie ndugu zake nauli ya treni kurudi makao makuu, please MAKALA usiwalipie, Hao ni ndugu zake JOBO, na MAVUNDE.Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameagiza viongozi wa Wilaya zote pamoja na Halmashauri zote za Mkoa wa Dar es Salaam kuwakusanya na kuwasomba omba omba wote na kuwarejesha makwao
View attachment 1799523
Leo hii mnawageuka wanyonge 😂😂😂😂 kweli magufuli alikuwa kazungukwa na wachawi.
Mliacha kuongoza kwa Sheria, mkaidavanga davanga nchi yetu.Kazi imeanza,,baada ya hapo machinga mjiandae.
Uzawa ni Jambo moja na makwao ni Jambo la piliItakuwaje kama hawa omba omba ni wazawa wa dsm?
Wengi wao wako ndani ya "biashara" isiyolipa KODI....Hawa ombaomba ni matajiri sana maana wanauhakika kulaza 50 elf mpaka elf 80.....kwa kipato wanawazidi hadi watumishi wa umma....ila ni ngumu sana kuwaondoa mjini
😂😂😂 haya ulipaswa kuyaongea wakati marehemu hajaondoka mama DWewe naweee.......... umetumia kipimo gani kuwapima na kuwaita wanyonge hao ombaomba waliokimbia majukumu ya kujenga uchumi makwao na kujazana mijini?
Ni rahisi sana kuzijua akili zako zilivyofeli kwa kumlinganisha asiyetaka kazi zaidi ya kuombaomba na yule anayepambana kufanya kazi apate chochote kitu
Unatia huruma sana yaani
Nikweli kabisaWengi wao wako ndani ya "biashara" isiyolipa KODI....
#KaziIendelee
Huo ni uongozi wa Jiwe ambao kwa sasa mama Samia hataki kabisa kuusikia.Zipo njia nyingi za kuwatoa na hawawezi kurudi tena mjini, ila zitakuwa za kudhalilisha utu. Waana harakati wa haki za binadamu watapata kazi ya kufanya.
👍Nikweli kabisa
Siku hizi wamejaa wa mikoa karibu yote.....hivi bado wengi wao wanatokea mkoa uleule wa dodoma kama ilivyo zoeleka?.