albab
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 2,000
- 3,395
Kuna propaganda za kijinga sana zinaendelea kupitia mitandao ya kijamii ambazo kimsingi waandaaji wanajiona ni wajanja sanaaa kumbe wapo nyuma ya wakati.
Propaganda hizi zinalenga kuamsha hasira za wananchi hasa kundi la vijana. Kimsingi zinakuja na ajenda ya kukumbusha mauji ya MO29 na kulaani.
Ukichunguza tangu wikii hii kuanza kumekua na press nyingi za CHADEMA kuanzia BAVICHA, BAWACHA na tarehe 22/12 Katibu kanda ya Victoria, leo Boni Yai ana Press ukiangalia na wengine watajitikeaza zaidi. yanayoongelewa ni yaleyale.
Mzee Wariaoba nae kaingia kwenye mkumbo aidha kwa kujua au kutokujua japo nina uhakika anakijua anachokifanya kwasababu yupo kwenye mpango tangu mwanzo ila anatumia mgongo wa kusema ukweli.
Jambo Tv kwa siku mbili hizi kazi anayoifanya ni kutembelea familia na kuhoji watu kuanzia Mara hadi kwa wanafunzi unadhani ni bahati mbaya. HAPANA.
MALENGO NI.
tunaelekea D25 amshemi hisia za wananchi, wachonganisheni na serikali yao kwa kadri itakavyowezekana, ongeeni na andikeni mitandaoni kwa wingi, tengenezeni headlines, changieni wahanga waone umuhimu wenu.
Njia hii imekua ikitumika kila kunapokua na tukio la kitaifa la wazi, kila zinapokaribia tarehe za maandamano. Sio bahati mbaya hata kidogo.
Kila kinachofanyika wanakiona , hawajalala hawa wana sikia, wapo.
Propaganda hizi zinalenga kuamsha hasira za wananchi hasa kundi la vijana. Kimsingi zinakuja na ajenda ya kukumbusha mauji ya MO29 na kulaani.
Ukichunguza tangu wikii hii kuanza kumekua na press nyingi za CHADEMA kuanzia BAVICHA, BAWACHA na tarehe 22/12 Katibu kanda ya Victoria, leo Boni Yai ana Press ukiangalia na wengine watajitikeaza zaidi. yanayoongelewa ni yaleyale.
Mzee Wariaoba nae kaingia kwenye mkumbo aidha kwa kujua au kutokujua japo nina uhakika anakijua anachokifanya kwasababu yupo kwenye mpango tangu mwanzo ila anatumia mgongo wa kusema ukweli.
Jambo Tv kwa siku mbili hizi kazi anayoifanya ni kutembelea familia na kuhoji watu kuanzia Mara hadi kwa wanafunzi unadhani ni bahati mbaya. HAPANA.
MALENGO NI.
tunaelekea D25 amshemi hisia za wananchi, wachonganisheni na serikali yao kwa kadri itakavyowezekana, ongeeni na andikeni mitandaoni kwa wingi, tengenezeni headlines, changieni wahanga waone umuhimu wenu.
Njia hii imekua ikitumika kila kunapokua na tukio la kitaifa la wazi, kila zinapokaribia tarehe za maandamano. Sio bahati mbaya hata kidogo.
Kila kinachofanyika wanakiona , hawajalala hawa wana sikia, wapo.
