John John Msakuzi
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 279
- 99
Ananendelea kwa kusema Serikali pia imetoa pikipiki 44 kwa maafisa mifugo, pamoja na vifaa vya kampeni ya chanjo vikiwemo majokofu 6, cool box 180, syringe 140 na sindano 2,160 na kuku kupatiwa chanjo bure.
Vilevile, mashamba darasa ya malisho yameanzishwa na mbegu bora 368 za mifugo zimesambazwa kwa njia ya uhimilishaji. Uzalishaji wa maziwa umeongezeka kutoka lita 1,200,000 mwaka 2020 hadi lita 2,030,720 mwaka 2025. Matokeo ya haya yote uzalishaji wa maziwa wafikia lita 2,000,000 mwaka 2025 kutoka lita 1,000,000 mwaka 2020