suala sio kupewa madaraka, suala ni kutokuqualify uache unafiki, ushamsikia magu anatilia mkazo suala la uhakiki wa vyeti kama mwanzo? kwa nini?There you are!! Kumbe kelele zenu zote na vitimbi chungu nzima vinatokana na wivu wa kitoto - eti kwanini kwa nini Makonda anapewa madaraka? Kwani hana cheti cha Chuo Kikuu, au unataka kusema Shahada aliyo nayo si ya kwake.