RC Mrisho Gambo: Serikali itaendelea kuwadhibiti wote watakaotaka kuingiza siasa kwenye majanga

Bora kayasema tena.

Siasa uchwara za upinzani na wanaoichukia serikali wazidi kujifunza kuheshimu awamu hii au wakae kimya.
 
Ameongea vizuri sana kama kiongozi wa mkoa! Tatizo la watanzania ni wavivu wa kufikiri siasa hata pasipohitajika na hiyo shule kama ana uwezo aifutie usajiri wake wajinga sana.
Kwani wewe unafikiri wewe siasa ni nini hasa?
 
Ameongea vizuri sana kama kiongozi wa mkoa! Tatizo la watanzania ni wavivu wa kufikiri siasa hata pasipohitajika na hiyo shule kama ana uwezo aifutie usajiri wake wajinga sana.
Laiti wangekufa watoto wenu muone uchungu wa haya makatazo. Waacheni wafiwa waomboleze watoto wao na kuwapa pole waende. Hamjui Uchungu walio naona Wazazi, ndugu na marafiki! Tangu lini Serikali ikaingilia taratibu za misiba jamani! Hii ya Arusha Kali.
 
Nawaza msinipopoe mawe....! Hivi kiuhalisia rambirambi wanapewa wanafamilia ama shule walipokuwa wanasoma wanafunzi! Sasa kama ni wanafamilia kwa nini hao watoa rambirambi hawaendi nyumbani kwa wafiwa wanaamua kwenda shuleni? Ukizingati mkuu wa shule yuko matatani kutokana na tukio hilo. Hamuoni kuwa hao kwenda pale kunaweza kuathiri mwenendo wa kesi dhidi ya wahusika wa shule ? Gambo anaweza kuwa sahihi sema ameshindwa kujenga hoja.
Acha kujishusha Mkuu, ni hivii wale watoa rambirambi waliona mda kuwatembelea wafiwa wote itagharim mda na kupeleka mkoani italiwa ikabidi iuombe uongozi wa shule kuwaita wazazi wahusika katika janga la kupoteza watoto wao ili kwa pamoja wapokee Pole za rambirambi kutoka chama cha umoja wa shule binafsi ndiyo Gambo akaagiza polisi waende kuwakamata watoa rambirambi na waandishi wa habari polisi wakawakamata waloagizwa na kwakuwa hawakutumwa kukamata wazazi waliwaacha na walipofika kituoni aliagiza waandishi wa habari waachiwe polisi wakawaambia waandishi kuwa waliwapa tu lift hivyo waondoke
 
"wananchi walikamatwa katika mkusanyiko unaodaiwa kuwa ulikuwa na lengo la kutoa rambirambi bila kufuata taratibu na hadi muda huu watu wengine wote walishahojiwa na kuachiliwa huru wakiwemo viongozi wa dini ."
Kwa muktadha huu,
= kwa kuwa Tanzania hatuna sheria inayodhibiti mambo yanayohusu kuhani wafiwa ama utaratibu wa kutoa rambirambi, kuanzia sasa ni lazima kujihoji mara mbilimbili kabla hujatoa rambirambi yako, kwa watu waliojipa mamlaka ya kudhibiti michango na kupanga matumizi kinyume na matarajio ya watoaji ama wachangiaji.
Na kama utalazimika kutoa ifanye kama sadaka usilalamike wala kuhoji zikipigwa, maana hawa si wanasiasa hamkuwachagua wala kuwateua hadi muwe na mamlaka ya kuwahoji zaidi ya mamlaka ya uteuzi.

=Na kwa kuwa sio kosa kutoa au kutotoa rambirambi, au kumpa au kutompa rambirambi mtu yeyote aliependekezwa, au kujipendekeza ama kujipa mamlaka ya kutwaa rambirambi hivyo basi.
Haitakuwa kosa kukataa kutoa rambirambi kuanzia sasa.
Ni hayo tu waheshimiwa
 
Tatizo mnaogopa vivuli vyenu wenyewe. Hivi zile za ttmk kule bashaija si ziliratibiwa pia na malengo si mliona kuwa yalifikiwa kwa kiwango kikubwa. Si tulibana matumizi ya mfuko wa famaa pia? Fuateni utaratibu wa misiba ya maafa au ajali kubwa.
 
ni jambo baya sana kutumia misiba kwa manufaa ya kisiasa..Gambo alihandle msiba bila siasa ...lema ndiye mtu wa kwanza kulalamika kuwa msiba uliendeshwa kisiasa...sasa yote yanayojiri yatakuwa na muelekeo huo na tuyakubali tu.
Hukuziona sare za CCM meza kuu?
 
Usiwe Nyumbu mkuu.
Misiba mingapi haihudhuriwi na waandishi wa habari?na inafanyika vizuri kabisa.
rambirambi imeliwa kiasi gani na nani?au unashabikia upuuzi wa Leema kisa kanyimwa mic?
taarifa za rambirambi hujapewa na RC?kilichoibwa ni kipi?au kwa kuwa mwanasiasa leema kasema?
kama mlizoea kuiba rambirambi ni nyinyi sio serikali.mnatumia maafa kisiasa kwa sababu wakati wa kuandaa mazishi hamkuepo bali kwenye rambirambi ndio mmekuwa wasemaji.
Rambirambi imeliwa na Gambo na jpm
 
baada ya lema kuumbuliwa na Gambo kuhusu ujenzi wa hospitali ya mama na mtoto naona ameumozwa sana...alitaka kulaghai watu kuwa amejenga hospitali kumbe ni kazi ya wahisani...leo hii alitaka kuonekana bora kupitia msiba na Gambo kambania mic..lazima achukie.

lengo la kujidai wanatoa rambirambi jana na kujikweza kisiasa na Gambo kawabania tena.

Zama hizi hamuwezi kutoka kwa kiki za kijinga...lazima mbaniwe na mtaendelea kulialia tu.
Jinga baba lao
 
Back
Top Bottom