Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 11,147
- 34,320
Huenda hiyo ikawa ndiyo sababu Kuu, but sio nzuri kwa afya ya Nchi kuhubiri ukabila karne hii ya 21Mkuu ninawakubali sana watu wa Klm but ni wakabila sana, huyu mama angekuwa mchagga wala wasingempinga au kumshitaki