HUYU MEYA NDIYE ALIYEWAVUA WADIWANI WOTE BARAKOA KWA NGUVUHizo kazi zisizokuwa na qualification ndio hayo madhara yake, watu wanaona kujipendekeza kulikopitiliza kwa bosi wao ndio kama sifa kwao ya utendaji kazi mzuri, mbaya zaidi unapokuta mwanaume ndio anakuwa na kiherehere zaidi ya mwanamke.
Hapa niko upande wa RC namfahamu yule mama na misimamo yake naielewa.
HUYO MEYA HATA UKIANGALIA MACHO NA MASIKIO YAKE UTAJUA TU NI MCHAWI. ATAKUWA ANAMCHUKIA RC KWA KUWA ANAHIMIZA UVAAJI BARAKOA. HOVYO KABISA!WAFANYABIASHARA MOSHI WAMSHANGAA RC MGWIRA KUMLAUMU RAIS MAGUFULI
Wafanyabiashara wa manispaa ya Moshi waliokuwa na kikao na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mgwira wameonesha kushangazwa na Kitendo cha Mkuu huyo kumlaumu hadharani Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Juma Raibu kuwa huwa anamshtaki kwa Rais Magufuli juu ya mambo mbalimbali.
Wafanyabiashara hao wametoa maoni yao kupitia Nungwi Fm kwa (sharti la kutotaka majina yao yaandikwe) baada ya kutoka kwenye Kikao cha kamati ya ulinzi na usalama cha Mkoa huo,akiongea kwaniaba ya wenzake Mfanyabiashara wa Kwanza alisema "Sisi tulikuja kuona namna gani kero yetu inatatuliwa kwa njia za amani lakini cha kustaajabisha ni kitendo cha RC kumshambulia Meya mbele yetu katika mambo yao ya siri akijua wazi sisi ni raia hatupaswi kusikia mambo yao,tunachoitaji kuona ni mshikamano ili Wafanyabiashara tupate ahueni kwenye maisha yetu" mwisho wa kunukuu
Pia Mfanyabishara mwingine alisema "Meya na RC wote ni watumishi wetu tunategemea wafanye kazi kwa muunganiko sio malumbano haya,Meya amefanya mazuri mengi nahata hili letu amelibeba sana, Kumgombeza na kumfukoe mbele yetu sio Sahihi ,wangesubiri tuondoke wafanye wao kwa wao,hili limetujengea picha mbay vichwani mwetu ,Tunaloomba ni watusikilize Jambo letu hili"
Source : Nungwi Online FmView attachment 1717079View attachment 1717080
Mkuu ninawakubali sana watu wa Klm but ni wakabila sana, huyu mama angekuwa mchagga wala wasingempinga au kumshitakiSasa huyo Meya anadhani akiondolewa huyo Anna Mnghwira ndiyo atapewa hiyo nafasi ya Mkuu wa Mkoa??
Watu mlioko kwenye utumishi wa Umma wakati mwingine mjifunze kuishi na watu hata kama humpendi, huyo ni Boss wako tayari, badala ya kuchapa kazi mnaendekeza majungu.
Huyu Meya ni balaa na niyeye katuma hi post hatare sana mtu huyu Wa Moshi angalieni sana huyu bw Rahabu ni jini
Tunaomba CV ya Juma Raibu.anaitia aibu moshi manispaa.WAFANYABIASHARA MOSHI WAMSHANGAA RC MGWIRA KUMLAUMU RAIS MAGUFULI
Wafanyabiashara wa manispaa ya Moshi waliokuwa na kikao na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mgwira wameonesha kushangazwa na Kitendo cha Mkuu huyo kumlaumu hadharani Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Juma Raibu kuwa huwa anamshtaki kwa Rais Magufuli juu ya mambo mbalimbali.
Wafanyabiashara hao wametoa maoni yao kupitia Nungwi Fm kwa (sharti la kutotaka majina yao yaandikwe) baada ya kutoka kwenye Kikao cha kamati ya ulinzi na usalama cha Mkoa huo,akiongea kwaniaba ya wenzake Mfanyabiashara wa Kwanza alisema "Sisi tulikuja kuona namna gani kero yetu inatatuliwa kwa njia za amani lakini cha kustaajabisha ni kitendo cha RC kumshambulia Meya mbele yetu katika mambo yao ya siri akijua wazi sisi ni raia hatupaswi kusikia mambo yao,tunachoitaji kuona ni mshikamano ili Wafanyabiashara tupate ahueni kwenye maisha yetu" mwisho wa kunukuu
Pia Mfanyabishara mwingine alisema "Meya na RC wote ni watumishi wetu tunategemea wafanye kazi kwa muunganiko sio malumbano haya,Meya amefanya mazuri mengi nahata hili letu amelibeba sana, Kumgombeza na kumfukoe mbele yetu sio Sahihi ,wangesubiri tuondoke wafanye wao kwa wao,hili limetujengea picha mbay vichwani mwetu ,Tunaloomba ni watusikilize Jambo letu hili"
Source : Nungwi Online FmView attachment 1717079View attachment 1717080
Mkuu tuombe radhi, mama tunamkubali sana ni mtu mwenye utu na anafikika kirahisi na Msikivu.Huyu meya na yule DC wa Hai wanamfitiniMkuu ninawakubali sana watu wa Klm but ni wakabila sana, huyu mama angekuwa mchagga wala wasingempinga au kumshitaki
Anatafuta ubunge wa moshi mjini mwaka 2025 . Hili ni gugu maji.Meya wa Moshi ametokea wapi? Ana qualification za aina gani? Maana amekuja na speed kali kweli
Huyo Meya atakuwa na matatizo..hatujasahau yeye huyo kuwavua ' barakoa' madiwani na kuhatarisha maisha yao.Kwa kauli za huyu mama kuhusu corona juzi kwenye mazishi ya katibu mkuu wa kkkt dk, nilitegemea figisu kama hizi. Kama huyo mama alimtuhumu meya bila kificho na kama wafanyabiashara wanaona kuwa huyo mama kakosea, kwanini wanaficha majina yao?
Hivi kweli kuna viongozi wamefikia hatua hiyo??????.....hapana, kuwavua watu barakoa ni kosa kubwa sana!!!HUYU MEYA NDIYE ALIYEWAVUA WADIWANI WOTE BARAKOA KWA NGUVU
WAFANYABIASHARA MOSHI WAMSHANGAA RC MGWIRA KUMLAUMU RAIS MAGUFULI
Wafanyabiashara wa manispaa ya Moshi waliokuwa na kikao na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mgwira wameonesha kushangazwa na Kitendo cha Mkuu huyo kumlaumu hadharani Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Juma Raibu kuwa huwa anamshtaki kwa Rais Magufuli juu ya mambo mbalimbali.
Wafanyabiashara hao wametoa maoni yao kupitia Nungwi Fm kwa (sharti la kutotaka majina yao yaandikwe) baada ya kutoka kwenye Kikao cha kamati ya ulinzi na usalama cha Mkoa huo,akiongea kwaniaba ya wenzake Mfanyabiashara wa Kwanza alisema "Sisi tulikuja kuona namna gani kero yetu inatatuliwa kwa njia za amani lakini cha kustaajabisha ni kitendo cha RC kumshambulia Meya mbele yetu katika mambo yao ya siri akijua wazi sisi ni raia hatupaswi kusikia mambo yao,tunachoitaji kuona ni mshikamano ili Wafanyabiashara tupate ahueni kwenye maisha yetu" mwisho wa kunukuu
Pia Mfanyabishara mwingine alisema "Meya na RC wote ni watumishi wetu tunategemea wafanye kazi kwa muunganiko sio malumbano haya,Meya amefanya mazuri mengi nahata hili letu amelibeba sana, Kumgombeza na kumfukoe mbele yetu sio Sahihi ,wangesubiri tuondoke wafanye wao kwa wao,hili limetujengea picha mbay vichwani mwetu ,Tunaloomba ni watusikilize Jambo letu hili"
Source : Nungwi Online FmView attachment 1717079View attachment 1717080
Hii habari haina balance/weledi au mwandishi ameiandika pre maturely ,je ni wote walikuwa na mtazamo huo,kama sivyo wale wenye mtazamo tofauti wao wanasemaje,he Huyo RC hakuzungumza jambo lingine na au alimlaumu meya tu .WAFANYABIASHARA MOSHI WAMSHANGAA RC MGWIRA KUMLAUMU RAIS MAGUFULI
Wafanyabiashara wa manispaa ya Moshi waliokuwa na kikao na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mgwira wameonesha kushangazwa na Kitendo cha Mkuu huyo kumlaumu hadharani Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Juma Raibu kuwa huwa anamshtaki kwa Rais Magufuli juu ya mambo mbalimbali.
Wafanyabiashara hao wametoa maoni yao kupitia Nungwi Fm kwa (sharti la kutotaka majina yao yaandikwe) baada ya kutoka kwenye Kikao cha kamati ya ulinzi na usalama cha Mkoa huo,akiongea kwaniaba ya wenzake Mfanyabiashara wa Kwanza alisema "Sisi tulikuja kuona namna gani kero yetu inatatuliwa kwa njia za amani lakini cha kustaajabisha ni kitendo cha RC kumshambulia Meya mbele yetu katika mambo yao ya siri akijua wazi sisi ni raia hatupaswi kusikia mambo yao,tunachoitaji kuona ni mshikamano ili Wafanyabiashara tupate ahueni kwenye maisha yetu" mwisho wa kunukuu
Pia Mfanyabishara mwingine alisema "Meya na RC wote ni watumishi wetu tunategemea wafanye kazi kwa muunganiko sio malumbano haya,Meya amefanya mazuri mengi nahata hili letu amelibeba sana, Kumgombeza na kumfukoe mbele yetu sio Sahihi ,wangesubiri tuondoke wafanye wao kwa wao,hili limetujengea picha mbay vichwani mwetu ,Tunaloomba ni watusikilize Jambo letu hili"
Source : Nungwi Online FmView attachment 1717079View attachment 1717080