Hii ni ishara njema sana katika kuondokana na lile bifu.Naamini yaliyopita si ndwele tugange yaliyopo na yajayo.
Vijana mkishirikiana mnaweza kuleta mabadiliko makubwa sana Dar na kitaifa.
Boya kama wewe umsamehe unamuongezea au kumpunguzia nini!Huyu kiumbe hafai kivyovyote hata wakimsamehe mimi sitakaa nimsamehe huyu kiumbe
Heheheheh sasa hutokaa umsamehe kwa lipi haswa alilokugusa wewe!?Huyu kiumbe hafai kivyovyote hata wakimsamehe mimi sitakaa nimsamehe huyu kiumbe
Picha tunahitaji,maana unachokinena kinaweza kisiwe kweliii uzushi huu haiwezekani kabisaHii ni ishara njema sana katika kuondokana na lile bifu.Naamini yaliyopita si ndwele tugange yaliyopo na yajayo.
Vijana mkishirikiana mnaweza kuleta mabadiliko makubwa sana Dar na kitaifa.
Kwani unamjua au unamuona tu kwenye picha?anakujua? kumchukia mtu asiekujua wala wewe kumjua ni ujuha tuHuyu kiumbe hafai kivyovyote hata wakimsamehe mimi sitakaa nimsamehe huyu kiumbe
Akili yake. Ndogo ila ruge noma alimpa za USO kibao vyovyote aombe msamaha au aiombe pia yeye ni Mdogo wangu pamoja na yote kama yeye hakutaka nije. Kwann mmeniita hahahhahhahaAngalia asije akasema amekuja kufuatilia wauza unga