RC Makonda: Nafikiri kuna haja ya kupunguza watumishi Serikalini

Hivi kuna watu kabisa mnabisha kweli kweli kwamba wafanyakazi wengi wa serikalini sio mzigo!? Mi ninazo proves nyingi tu za kuonesha kwamba wafanyakazi wa taasisi karibu zote za serikali hawafanyi kazi zinazo wahusu kwa wakati. Hilo wal ahalihitaji darubuni kulijua. Siungi mkono upunguzwaji wao but the truth remains, "Wafanyakazi wa serikalini hawafanyi kazi kwa wakati"
 
Nadhan inabid ifikie hatua tufikirie kabla hatujatoa matamko yetu mbele za watu.
Hii hoja ya kusema kuna haja ya 80% wapunguzwe kwnye ajira za serikali na wabaki na 20% ni hoja isiyokuwa na lengo la kutengeneza mazingira rafiki katika jamii.
Kiutawala RC na DC ni "ceremonial titles" ambazo mtu yeyote anayejua kusoma na kuandika anaweza kuzifanya regardless ya elimu yake aliyonayo.
Hii ni naweza kusema kwamba mkuu wetu wa Kaya ana "Ceremonial Title Arrogance".
 
Hivi kuna watu kabisa mnabisha kweli kweli kwamba wafanyakazi wengi wa serikalini sio mzigo!? Mi ninazo proves nyingi tu za kuonesha kwamba wafanyakazi wa taasisi karibu zote za serikali hawafanyi kazi zinazo wahusu kwa wakati. Hilo wal ahalihitaji darubuni kulijua. Siungi mkono upunguzwaji wao but the truth remains, "Wafanyakazi wa serikalini hawafanyi kazi kwa wakati"

Shaka inakuja hapo kwenye hiyo percentage.
 
Angeanza kujipunguza yeye kwanza maana anaongoza kwa kuwa na majungu ukilinganisha na watumishi wengine wa serikali.... Na asome hapa kama anafuatilia huu uzi :eek:
 
wapunguzwe lakini wapewe mafao yao yote............wasiseme mpaka baada ya miaka 55.
 
"Nafikiri kuna haja ya kupunguza watumishi serikalini maana wako wengi sana lakini asilimia 20 pekee ndiyo wanafanya kazi, na asilimia 80 hawafanyi kazi zao kikamilifu, kazi yao ni kupiga umbea na majungu" - Hilo ni wazo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda

CHANZO: EATV


kwa kweli kuna kaukweli...ktk ofisi za serikali nyingi baadhi wafanyakazi wengine hawana kazi, ni kuja ofisini kukaa, kusinzia, kupiga stori, majungu ukifika muda aende nyumbani...anachokiongea kweli kipo...ila utaanzaje anzaje kumtoa huyo mfanya kazi?
Pili ukimtoa ndio tonge lake umemnyang'anya hapo inakuwa issue..
Ukiangalia wafanyakazi wa serikali utakuta kitengo kina watu wengi ambapo kama ni taasisi binafsi kazi inayofanywa na wafanyakazi wa serikali 5 katika taasisi binafsi inafanywa na watu wawili au mmoja. Na hii imepelekea kuwa hata na mishahara midogo kwa watumishi wa serikali. Taasisi binafsi anakupa kazi nyingi na mshahara unakuwa mnono.
Ila ndio hivyo ukiliongelea sana unakuwa umegusa maslahi ya watu wengi.
 
Haiingii akilini wakati Makonda anasema ukweli ili kuokoa pesa za walipa kodi kwa wafanyakazi ambao muda mwingi wanapiga soga na majungu anapigwa mawe. Sasa kama tunalipa watu ambao hawafanyi kazi maana yake ni nini? Then tunachema chichi ndio ma-great Tinkers wa Tanzania, namaanisha tunatetea uvundo? BTW hivi ni nani kati yetu anayeweza kumlipa mtu mshahara wakati anafahamu fika huyo mtu hafanyi kazi yoyote na kubwa analofanya ni kupiga deals na kupika majungu oooops unakumbuka jungu kuu halikosi ukoko?

Wacha1 JPM awakomeshe hawa wapika magendo kwa mwendowa kasi watakiona cha ntema kuni . Go Pombe Go clean the house, hawa wapiga magendo ni lazima wasafishwe. Watalia hadi chozi la damu.
Wewe na huyo mkurupukaji huo utafiti mmefanya lini? inaonekana nyie ndio wapiga umbeya na majungu waanze na nyie
 
Juzi alisema Siro kahongwa na vijana wa shisha,Leo wafanyajazi wapunguzwe kesho sijui atasema nini? na huyu kidogo shule kapitia lakini ndio hajui maana ya kila anachosema kazi ipo kweli,
 
Hao watakao punguzwa vilevile atushauri tuwapeleke wapi, sio kutoa wazo lisilo na suluhu au kwa vile yeye anaujira tayari?
Unajua ni asilimia ndogo sana (< 30%) ya Watanzania imeajuriwa! Hivyo inashangaza watu kama wewe ambao mnaamini hakuna maisha bila ajira!

Ni a
 
Hili ndio swali ambalo tunalopaswa kujiuliza na pengine ndio inafaa kuwa ni agenda yetu kwa sasa tukielimishana juu ya namna zoezi hili la kupunguza wafanyakazi(redundancy) linavyopaswa kutekelezwa na nini hasa haki za mfanyakazi na taratibu gani zinazopaswa kufuatwa kabla ya kutekeleza kwa mpango ambao RC huyu anaupigia chapuo.

Tujiongeza hao wengine tunaowajadili hapa kila siku hawatusaidii lolote zaidi ya kutu-alert tu.
 
Post zingine bwana ni za ovyo kweli kweli, zimejaa utabili, ni bora mkawa waganga wa jadi tu kuliko kusumbua humu jf, hakuna mtumishi yeyote aliyepunguzwa kazini, lakini jitu bila aibu limekomaa, eti ohoo Makonda kutoa redundancy, ohoo ataishia pabaya, post za kijinga jinga tupu. Shame on you fool.
 
Wewe na huyo mkurupukaji huo utafiti mmefanya lini? inaonekana nyie ndio wapiga umbeya na majungu waanze na nyie
We nae bana hurudi kwenu Burundi, mambo ya Tanzania tuachie wenyewe ebo!
 
Wacha kutetea ujinga!
Wewe na Makonda wako mtaeleweka mkizungumzia Watumishi hewa ndiyo hoja iliyoko mezani! Hivi kwa akili yako na Muk *nd* wako unawezaje kuanza kupunguza Watumishi wakti bado una Watumishi hewa????!!!Jibu ni kwamba matokeo yake utajikuta unapunguza Wafanyakazi HALISI na kuacha HEWA wakiendelea na kazi!
Hii ndiyo shida ya akili za kushikiwa na kufuata mkumbo!


Aiseee chacha baada ya kuporomosha mitusi yote hiyo umeridhika? Sijaumia lakini then nyie ndio mnachema mnataka demokrasi na katiba mpya? Hii demokrasi ya kujibu hoja kwa hoja hamuwezi mtaweza demokrasia gani? Ndio upimbi huo ambao umeujaza kwenye ubongo wako. Weka hoja hapa sio uongo uongo, utakuta watu wanaondoka ofisini ati wamekwenda kunywa chai wakati mwisho wa mwezi wanataka kulipwa, ukiwauliza wamefanya kazi gani kwa mwezi mzima wanagwaya. Tanzania haiwezi kuendlea tukiendekeza huu upuuzi. Wafnyakazi walipwe kutokana na kazi wanazofanya (performance) sio kwenda kufanya kazi binafsi kwenye ofisi za serikali.

The mentality of people need to change about work. Makonda kadokeza tu, nyie mnapinga kwa sababu mnataka kuendeleza magendo kwenye ofisi za serikali wakati kule kijijini kwenu hakuna hata vyoo, pambaf kabisa. Mnafikiri nchi zilizoendelea waliendelea kwa sababu ya kupika majungu na magendo?
 
"Nafikiri kuna haja ya kupunguza watumishi serikalini maana wako wengi sana lakini asilimia 20 pekee ndiyo wanafanya kazi, na asilimia 80 hawafanyi kazi zao kikamilifu, kazi yao ni kupiga umbea na majungu" - Hilo ni wazo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda

CHANZO: EATV
Huo utafiti hadi kupata hizo asilimia kaufanya lini, Viongozi wa sasa kwa kutafuta kick hawajambo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom