social_science
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 1,105
- 1,262
wakati mwingine mnajitakia stress na pressure bila sababu y msingi inashangaza kuona presidential appointee anapambana kama mbunge wa kuchaguliwa na wananchi
Naomba nkuulze swal,,,je ni kwann timu ya mpira wa miguu ikifanya vibaya wanamfukuza kocha kwan ndio anae cheza mpira uwanjanKweli dunia ina mengi ya kujifunza yaani mmeacha kuwapongeza walimu kwa kazi nzuri mnampongeza mtu ambae hayupo katika hilo swala
We Bashite unatafuta kick humu? Tuwapongeze walimu wenye vyeti vyao.Mkoa wa Dares salaam umeshika namba moja matokeo ya darasa la saba kitaifa .
Hii ni baada ya juhudi na ubunifu wa mkuu wa mkoa Paul Makonda, mfano walimu kusafiri bure, ujenzi wa vyumba vya madarasa, kujaza madawati kila shule na kugawa chaki na vitabu kwa wakati vimesaidia sana kurejesha morali ya walimu na wanafunzi kufundisha na kusoma kwa bidii.
Hongera sana Paul Makonda na hongera rais Magufuli kwa elimu bure.
Wenye roho za korosho wajinyonge na wakalegee huko.
Wakifaulu mnasema ni walimu,Kweli dunia ina mengi ya kujifunza yaani mmeacha kuwapongeza walimu kwa kazi nzuri mnampongeza mtu ambae hayupo katika hilo swala
Wakifaulu mnasema ni walimu,Kweli dunia ina mengi ya kujifunza yaani mmeacha kuwapongeza walimu kwa kazi nzuri mnampongeza mtu ambae hayupo katika hilo swala
Mwaka jana walivyokua wamefeli mlimshambulia Makonda siyo walimu.Juhudi za watoto na wazazi wao Bashite hausiki
Ivi we mleta uzi, kazi ya makonda ktk elimu ni ipi? Na kazi ya walimu ktk ELIMU ni ipi?Mkoa wa Dares salaam umeshika namba moja matokeo ya darasa la saba kitaifa .
Hii ni baada ya juhudi na ubunifu wa mkuu wa mkoa Paul Makonda, mfano walimu kusafiri bure, ujenzi wa vyumba vya madarasa, kujaza madawati kila shule na kugawa chaki na vitabu kwa wakati vimesaidia sana kurejesha morali ya walimu na wanafunzi kufundisha na kusoma kwa bidii.
Hongera sana Paul Makonda na hongera rais Magufuli kwa elimu bure.
Wenye roho za korosho wajinyonge na wakalegee huko.
Na msonde asingefanya hivyo alivyo fanya basi kibarua chake kingekuwa hatiani ndio maana Geita imeshika nafasi ya 2 hahahaaaaaaaa , ELIMU + SIASA + SIFA = ELIMUSIASASIFAMkoa wa Dares salaam umeshika namba moja matokeo ya darasa la saba kitaifa .
Hii ni baada ya juhudi na ubunifu wa mkuu wa mkoa Paul Makonda, mfano walimu kusafiri bure, ujenzi wa vyumba vya madarasa, kujaza madawati kila shule na kugawa chaki na vitabu kwa wakati vimesaidia sana kurejesha morali ya walimu na wanafunzi kufundisha na kusoma kwa bidii.
Hongera sana Paul Makonda na hongera rais Magufuli kwa elimu bure.
Wenye roho za korosho wajinyonge na wakalegee huko.
Na msonde asingefanya hivyo alivyo fanya basi kibarua chake kingekuwa hatiani ndio maana Geita imeshika nafasi ya 2 hahahaaaaaaaa , ELIMU + SIASA + SIFA = ELIMUSIASASIFADar shule zilizoingia 10 bora ni tusiime na Feza.
Are theae govt skulz?
Shule za kata ndio za huyo Makonda wako, haya tueleze shule ipi ya kata iliyoongoza.Mkoa wa Dares salaam umeshika namba moja matokeo ya darasa la saba kitaifa .
Hii ni baada ya juhudi na ubunifu wa mkuu wa mkoa Paul Makonda, mfano walimu kusafiri bure, ujenzi wa vyumba vya madarasa, kujaza madawati kila shule na kugawa chaki na vitabu kwa wakati vimesaidia sana kurejesha morali ya walimu na wanafunzi kufundisha na kusoma kwa bidii.
Hongera sana Paul Makonda na hongera rais Magufuli kwa elimu bure.
Wenye roho za korosho wajinyonge na wakalegee huko.
Maana yake alizungusha waumini sema zero, amen. In Gwajima's voiceMbona ye alipata fafafa