Mwaka jana walisemwa sana, sasa hongeraMkoa wa Dares Salaam umeshika namba moja matokeo ya darasa la saba kitaifa.
Hii ni baada ya juhudi na ubunifu wa mkuu wa mkoa Paul Makonda, mfano walimu kusafiri bure, ujenzi wa vyumba vya madarasa, kujaza madawati kila shule na kugawa chaki na vitabu kwa wakati vimesaidia sana kurejesha morali ya walimu na wanafunzi kufundisha na kusoma kwa bidii.
Hongera sana Paul Makonda na hongera rais Magufuli kwa elimu bure.
NegativeNa yale matokeo ya zero nyingi ya form4 ya Mwaka juzi ni juhudi zake pia?
Pole sana mkuu ila naamini sio akili yako iliyokusukuma uandike utumbo huoUfipa fc hata ofisi ya chama imewashinda.
Mnachojua ni kuuza madawa tu