RC Makonda aipaisha Dar, matokeo ya darasa la saba

RC Makonda aipaisha Dar, matokeo ya darasa la saba

Mkuu nyumbu ni wa kuacha kama walivyo.

Zero brain kabisa
tapatalk_1507870530859.jpg
 
Shule za kata ndio za huyo Makonda wako, haya tueleze shule ipi ya kata iliyoongoza.

Tusiime ni shule private.
Kwa hiyo dar ina shule za private tupu?

Nyumbu original kabisa
 
Hongera sana Mh. Mkuu wa Mkoa wetu. Uthubutu wako na. Kupenda maendeleo. Ya elimu ndio kumeleta mafanikio yote. Haya. Safi sana.
 
Mkoa wa Dares Salaam umeshika namba moja matokeo ya darasa la saba kitaifa.

Hii ni baada ya juhudi na ubunifu wa mkuu wa mkoa Paul Makonda, mfano walimu kusafiri bure, ujenzi wa vyumba vya madarasa, kujaza madawati kila shule na kugawa chaki na vitabu kwa wakati vimesaidia sana kurejesha morali ya walimu na wanafunzi kufundisha na kusoma kwa bidii.

Hongera sana Paul Makonda na hongera rais Magufuli kwa elimu bure.
Amekutuma umsifie malipo badae tigo mara paa
 
Mkoa wa Dares Salaam umeshika namba moja matokeo ya darasa la saba kitaifa.

Hii ni baada ya juhudi na ubunifu wa mkuu wa mkoa Paul Makonda, mfano walimu kusafiri bure, ujenzi wa vyumba vya madarasa, kujaza madawati kila shule na kugawa chaki na vitabu kwa wakati vimesaidia sana kurejesha morali ya walimu na wanafunzi kufundisha na kusoma kwa bidii.

Hongera sana Paul Makonda na hongera rais Magufuli kwa elimu bure.
Amekutuma umsifie malipo badae tigo mara paa
 
Sawa hongera zake,pia tunasubiri kumpa pongezi za matokeo yajayo ya form four
 
Wakifaulu mnasema ni walimu,
Ila wangefeli mngemshambulia Makonda, angalia thread za mwaka jana alivyoshambuliwa.
Binadamu ndo tulivyo double standard.
Bila double standard yeye huyo manenepa angekuwepo kwenye hicho kiti alichokalia? Mtumishi mwenye kutumia vyeti visivyovyake aliyebaki hiyo siyo double standard?
 
Thread nyingine bwana...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mkoa wa Dares Salaam umeshika namba moja matokeo ya darasa la saba kitaifa.

Hii ni baada ya juhudi na ubunifu wa mkuu wa mkoa Paul Makonda, mfano walimu kusafiri bure, ujenzi wa vyumba vya madarasa, kujaza madawati kila shule na kugawa chaki na vitabu kwa wakati vimesaidia sana kurejesha morali ya walimu na wanafunzi kufundisha na kusoma kwa bidii.

Hongera sana Paul Makonda na hongera rais Magufuli kwa elimu bure.
Tanzania
Timu ikishinda mganga kiboko na timu ikifungwa kocha hafai[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom