Hahahaa..... Mimi ni mjasiriamali na kitambulisho ninacho!Hata wewe pia
Tuoneshe kitambulisho chako
Ova
Tuweke hapa tukioneHahahaa..... Mimi ni mjasiriamali na kitambulisho ninacho!
Nguvu hyo mngeitumia pia kusambaza ili watu wawe na vitambulisho vya NIDA mngekuwa mmefanya jambo la mbolea sanaHahahaa..... Mimi ni mjasiriamali na kitambulisho ninacho!
kwa hiyo waandishi wa habari wakiwa na hivyo vitambulisho mishahara yao haipiwi kodi tena? nawaza tu mkuu wa mkoa anachowaza ni nini
Ukiona hvyo kaguswaDuh kama na wewe umegundua basi Hapi kakwama jamani.
Kwa mara ya kwanza Mwana CCM umekiri hadharani kwamba watu wa chama chako ni mahiri katika kutoa rushwa. Rushwa CCM ndiyo falsafa ya kuendeshea mambo!!Ally Hapi atafute zake bahasha kadhaa azimwage kama ‘Sandakalawe’ aone watakavyovurugana
Kwa mara ya kwanza Mwana CCM umekiri hadharani kwamba watu wa chama chako ni mahiri katika kutoa rushwa. Rushwa CCM ndiyo falsafa ya kuendeshea mambo!!
Basi sawa, ngoja Makonda naye akawaambie na Wachezaji wa Simba wawe na vitambulisho hivyo vya Machinga..Je aliwaambia katika ' Muktadha ' gani / upi? Yawezekana labda aliwaambia ama Kiutani tu au labda aliwaambia kwamba kama kuna Mwandishi wa Habari Mfanyabiashara au anatarajia kuwa Mfanyabiashara basi ahakikishe nae anakuwa na Kitambulisho hicho cha Wamachinga.
Japo RC Hapi nae Siku hizi naona amekuwa na ' Mapungufu ' fulani fulani hasa ya Kiutendaji na huenda pia ikawa inachangiwa na Umri wake kuwa bado mdogo na kupewa Dhamana Kubwa hiyo ya Kiuongozi ila nadhani hii taarifa juu yake imeletwa kwa ' Chuki ' zaidi hasa za Kisiasa / Kianaharakati kwani RC Hapi hajaanza Kuandamwa leo hasa baada ya Kuonyesha Msimamo wake juu ya Watu wa Chama fulani ambao wanahisi Kada Wao Mwandamizi wa Mkoani Iringa ananyanyasika kama siyo Kuonewa.
Halafu nitawaelewa hawa Waandishi wa Habari ambao wamempa ' Ultimatum ' hiyo RC Hapi kama na Wao pia wakituhakikishia Sisi Watanzania ni lini na Wao wataacha kuwa na tabia za Kujipendekeza, Kujikomba na Kusifia tu mambo ya Watawala huku ' Wakihongwa ' na ' Kutumika ' hovyo kwa Faida ya wenye ' Mamlaka ' nchini. Binafsi nawaona Waandishi hao wa Habari wa Mkoani Iringa na wengineo wengi ( ukiachia mbali wachache sana ) ni ' Wanafiki ' wakubwa mno kama siyo sana tu.
Posho huwa zinatozwa kodi na hivyo vitambulisho ni kodi ama ni nini?Kwa "Freelancer reporters" wako kwenye payroll za vyombo vya habari wanavyoripotia? na kama hawapo kodi zao huwa wanalipaje? Majibu ya hilo swali yatafunga mada yako
Hapi sijui ana feli wapi? Au kuna Mkuu wa Mkoa fulani anashindana nae!!
Vitambulisho ni kodiPosho huwa zinatozwa kodi na hivyo vitambulisho ni kodi ama ni nini?
Kodi kwa mujibu wa sheria gani?Vitambulisho ni kodi
Agizo la Mh RaisiKodi kwa mujibu wa sheria gani?
Sheria za kodi hazitungwi kwa agizo la Rais bali hutungwa na Bunge. Kitambulisho siyo kodi na ndiyo maana kinaitwa Kitambulisho!!Agizo la Mh Raisi
Kwa hiyo Mmachinga mwenye kitambulisho cha Taifa hahitaji hiki siyoSheria za kodi hazitungwi kwa agizo la Rais bali hutungwa na Bunge. Kitambulisho siyo kodi na ndiyo maana kinaitwa Kitambulisho!!