mgawe
Member
- Jan 19, 2014
- 21
- 12
Jenga hojavideo ya kutengeneza hiyo sio original
Jenga hojavideo ya kutengeneza hiyo sio original
Chama cha wahuni, mafisadi, watoa na wapokea rushwa na wauaji.
Mjadala wa Bashite bado upo mpaka atakapokuwa cheti mezaniMmemshindwa "Bashite" mmehamisha majeshi eeh!!
Safari hii mpaka mnyooke, ni rula tu!!
Sikiliza hii kitu.
Mbona hiyo video ni kama ya 2008 au macho yangu yana kijani sana?!!
Mbona hiyo video ni kama ya 2008 au macho yangu yana kijani sana?!!
Tuhuma za CHADEMA kuendeshwa kwa maslahi na kununulika hazikuanza leo.
Uteuzi na vyeo kikabila, uteuzi wa kindugu, teuzi na vyeo kimapenzi na hata kununuliwa kwa pesa tasilimu.
Viongozi karibu wote wa juu kutoka kabila moja. Lisu kumfanyia mpango marehemu dada yake kuwa mbunge. Marehemu Ndesa kumfanyia mpango binti yake Lucy Owenya kuwa mbunge. Mkuu kumpa aliyekuwa demu wake ubunge na sasa ni mzazi mwenzake. Mkuu kupewa pesa na Mzee Mkono ili asimuwekee mpinzani ili Mkono apite bila kupingwa jimboni. Mkuu kuingia dili la 'kisiasa' na Katibu Kinana kuhusu kupata unafuu wa madeni yake ya NSSF, Mkuu kupewa mzigo ili kumpa EL nafasi ya kugombea uraisi kupitia UKAWA na baadhi ya tuhuma zilizoelekezwa kwa CHADEMA na wabaya wao.
Tuhuma za hivi karibuni zinaweza kuthibitisha tuhuma za nyuma. Tuhuma hizi za CHADEMA kuweza kununuliwa hazitolewi tena na wabaya wao. Tuhuma hizi zinatolewa na wabunge wao dhidi ya waliokuwa madiwani wao. Godbless Lema na Joshua Nasari wanajaribu kuthibitisha kuwa ndani yao, miongoni mwao wanaweza kununuliwa, inategemea bei. Katika kundi lao kila mtu ana bei yake.
Tuhuma za kuuza na kununua ndani ya CHADEMA kutoka kwa viongozi wa chama hicho sio ngeni. Mheshimiwa Sugu aliwahi pia kumtuhumu makamu mwenyekiti CHADEMA Zanzibar Salum Mwalimu kuwa anachukua milioni tano tano kwa wakinadada waliokuwa wakitaka majina yao yapitishwe ubunge viti maalum.
Lema na Nasari wametufumbua macho, wametuonesha kuwa hawa watu tunaowaamini na kuwategemea kuleta tunachokiita ukombozi si watu wa kuwategemea. Ni wanafiki, matapeli wa kisiasa, wachumia tumbo, genge la walanguzi na wachuuzi. Kama wanakubali kununuliwa kwa vijisenti vidogo tu, wanauza dhamana kwa hamu zao za ngono, wanawezaje hawa wakaaminika wakapewa nchi
Hakika unaofanyika hapa ni mchezo wa kitotovideo ya kutengeneza hiyo sio original
Hilo la mwaka 2008 ni tatizo dogo sana, inawezekana camera haikufanyiwa setting ya tareheMbona hiyo video ni kama ya 2008 au macho yangu yana kijani sana?!!
Mjadala wa 2008 kisiasa nimeshaufunga!Hilo la mwaka 2008 ni tatizo dogo sana, inawezekana camera haikufanyiwa setting ya tarehe
Umeamua kuacha kutumia common sense ya kawaida, ingawa unachosema unaona kama kina make sense. Unaposikiliza hicho kinachosemwa katika hiyo video, kinakupa picha kwamba ni 2008? akina Gambo walikuwa wakuu wa mikoa mwaka ule? Kwa nini usifikirie deeper zaidi??Dah wabongo tuache kudanganyana unapoamua kufanya jambo hakikisha mazingira unayofanyia hilo jambo yanaendana na uhalisia wa jambo la sivyo utajikuta mishipa inakutoka kushupalia jambo kumbe lina erros ambazo zinaonekana hata kwa mtoto hivyo recod inaonekana 2008 mhusika anafanyiwa interview alafu bila kujijua mishipa inakutoka kwapa zinanuka hushtuki yaani kila siku tunalalamika bongo movie wanakera movie hazieleweki kumbe vitu kama hv haviangaliwi acheni kunywa maji ya bendera mtakufa mm napita hv Homa ya manjano na kijani + pundamilia
Mwaka 2008 Mrisho gambo alikuwa dogo sana, tena ndo alikuwa anamalizia chuo uhasibu Arusha ( computer science)Mollel hakuwa diwani mwaka 2008! Tuliza akili Mkuu fuatilia mambo kwa kituo ili uelewe kinachoendelea kwenye uzi huu.
Sikiliza hii kitu.