Salaam, Shalom!!
Ni muda sasa tangu RC wa Arusha aingie kwa mbwembwe kama kawaida yake katika maeneo mengi aliyokwenda baada ya kuteuliwa kuongoza,
Umati mkubwa wa watu waliokusanyika kumpokea na kuhudhuria utatuzi wa case za wananchi hadharani ambao haujawahi kufikia mwisho, Bado haukumstua Mh Lema.
Wakati Mh Lema akiwa kimya, Mh Gambo naye Yuko kimya, nadhani akiamini ujio wa RC utamrahisiahia njia mbele yake.
Sasa nimeamini Mh Lema, ukimya wake Si wa Bahati mbaya, ni calculated move, kumjibu au kumuongelea RC ni kumpa coverage, Mh Lema ameamua kunyamaza.
Matokeo ya ukimya wa Lema, RC ameanza kuharibu na anasemwa na kushtakiwa na viongozi wenzie ndani ya chama, Ndugu Mary Chatanda, ametoka hadharani kumtuhumu RC Kwa udhalilishaji wa Mtumishi wa Serikali katika hadhara iliyokwenda Kwa Jina la wiki ya HAKI.
Kumbe ukimya una nguvu sana.
Kongole kwako Mh Lema.
Salamu zimfikie Mh Gambo kuwa, kibarua Bado kigumu Arusha, na KAZI ndio kwanza imeanza.
Mungu ubariki Mkoa wa Arusha,
Abarikiwe Nabii Lema.
Ubarikiwe Tanganyika,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen
Karibuni🙏
Ni muda sasa tangu RC wa Arusha aingie kwa mbwembwe kama kawaida yake katika maeneo mengi aliyokwenda baada ya kuteuliwa kuongoza,
Umati mkubwa wa watu waliokusanyika kumpokea na kuhudhuria utatuzi wa case za wananchi hadharani ambao haujawahi kufikia mwisho, Bado haukumstua Mh Lema.
Wakati Mh Lema akiwa kimya, Mh Gambo naye Yuko kimya, nadhani akiamini ujio wa RC utamrahisiahia njia mbele yake.
Sasa nimeamini Mh Lema, ukimya wake Si wa Bahati mbaya, ni calculated move, kumjibu au kumuongelea RC ni kumpa coverage, Mh Lema ameamua kunyamaza.
Matokeo ya ukimya wa Lema, RC ameanza kuharibu na anasemwa na kushtakiwa na viongozi wenzie ndani ya chama, Ndugu Mary Chatanda, ametoka hadharani kumtuhumu RC Kwa udhalilishaji wa Mtumishi wa Serikali katika hadhara iliyokwenda Kwa Jina la wiki ya HAKI.
Kumbe ukimya una nguvu sana.
Kongole kwako Mh Lema.
Salamu zimfikie Mh Gambo kuwa, kibarua Bado kigumu Arusha, na KAZI ndio kwanza imeanza.
Mungu ubariki Mkoa wa Arusha,
Abarikiwe Nabii Lema.
Ubarikiwe Tanganyika,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen
Karibuni🙏