Sasa nimeelewa kwanini Lema haijishughulishi na Mkuu wa Mkoa wa Arusha

Rabbon

JF-Expert Member
Apr 16, 2022
16,653
25,242
Salaam, Shalom!!

Ni muda sasa tangu RC wa Arusha aingie kwa mbwembwe kama kawaida yake katika maeneo mengi aliyokwenda baada ya kuteuliwa kuongoza,

Umati mkubwa wa watu waliokusanyika kumpokea na kuhudhuria utatuzi wa case za wananchi hadharani ambao haujawahi kufikia mwisho, Bado haukumstua Mh Lema.

Wakati Mh Lema akiwa kimya, Mh Gambo naye Yuko kimya, nadhani akiamini ujio wa RC utamrahisiahia njia mbele yake.

Sasa nimeamini Mh Lema, ukimya wake Si wa Bahati mbaya, ni calculated move, kumjibu au kumuongelea RC ni kumpa coverage, Mh Lema ameamua kunyamaza.

Matokeo ya ukimya wa Lema, RC ameanza kuharibu na anasemwa na kushtakiwa na viongozi wenzie ndani ya chama, Ndugu Mary Chatanda, ametoka hadharani kumtuhumu RC Kwa udhalilishaji wa Mtumishi wa Serikali katika hadhara iliyokwenda Kwa Jina la wiki ya HAKI.

Kumbe ukimya una nguvu sana.

Kongole kwako Mh Lema.

Salamu zimfikie Mh Gambo kuwa, kibarua Bado kigumu Arusha, na KAZI ndio kwanza imeanza.

Mungu ubariki Mkoa wa Arusha,

Abarikiwe Nabii Lema.

Ubarikiwe Tanganyika,

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen

Karibuni🙏
 
Kwani Makonda alishawahi kujishughulisha kumtaja hata Lema kwa jina?

Makonda tukubali tukatae, ni jitu. Ni mkubwa sana kwa Lema.

Kumbe mlikuwa mnahara, ila baada ya Chatanda kuongea mmepata ahueni.

Makonda haondoki Arusha.
Aondoke mara ngapi?

Dunia ya sasa, umdhalilishe mwanamke hadharani utatokea wapi?

Kama una namba yake, mwambie atoke hadharani kuomba radhi ingawa sidhani kama atakusikia.
 
Salaam, Shalom!!

Ni muda sasa tangu RC wa Arusha aingie Kwa mbwembwe kama kawaida yake katika maeneo mengi aliyokwenda baada ya kuteuliwa kuongoza,

Umati mkubwa wa watu waliokusanyika kumpokea na kuhudhuria utatuzi wa case za wananchi hadharani ambao haujawahi kufikia mwisho, Bado haukumstua Mh Lema.

Wakati Mh Lema akiwa kimya, Mh Gambo naye Yuko kimya, nadhani akiamini ujio wa RC utamrahisiahia njia mbele yake.

Sasa nimeamini Mh Lema, ukimya wake Si wa Bahati mbaya, ni calculated move, kumjibu au kumuongelea RC ni kumpa coverage, Mh Lema ameamua kunyamaza.

Matokeo ya ukimya wa Lema, RC ameanza kuharibu na anasemwa na kushtakiwa na viongozi wenzie ndani ya chama, Ndugu Mary Chatanda, ametoka hadharani kumtuhumu RC Kwa udhalilishaji wa Mtumishi wa Serikali katika hadhara iliyokwenda Kwa Jina la wiki ya HAKI.

Kumbe ukimya una nguvu sana.

Kongole kwako Mh Lema.

Salamu zimfikie Mh Gambo kuwa, kibarua Bado kigumu Arusha, na KAZI ndio kwanza imeanza.

Mungu ubariki Mkoa wa Arusha,

Abarikiwe Nabii Lema.

Ubarikiwe Tanganyika,

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen

Karibuni🙏
😆😆😆😆
 
Salaam, Shalom!!

Ni muda sasa tangu RC wa Arusha aingie Kwa mbwembwe kama kawaida yake katika maeneo mengi aliyokwenda baada ya kuteuliwa kuongoza,

Umati mkubwa wa watu waliokusanyika kumpokea na kuhudhuria utatuzi wa case za wananchi hadharani ambao haujawahi kufikia mwisho, Bado haukumstua Mh Lema.

Wakati Mh Lema akiwa kimya, Mh Gambo naye Yuko kimya, nadhani akiamini ujio wa RC utamrahisiahia njia mbele yake.

Sasa nimeamini Mh Lema, ukimya wake Si wa Bahati mbaya, ni calculated move, kumjibu au kumuongelea RC ni kumpa coverage, Mh Lema ameamua kunyamaza.

Matokeo ya ukimya wa Lema, RC ameanza kuharibu na anasemwa na kushtakiwa na viongozi wenzie ndani ya chama, Ndugu Mary Chatanda, ametoka hadharani kumtuhumu RC Kwa udhalilishaji wa Mtumishi wa Serikali katika hadhara iliyokwenda Kwa Jina la wiki ya HAKI.

Kumbe ukimya una nguvu sana.

Kongole kwako Mh Lema.

Salamu zimfikie Mh Gambo kuwa, kibarua Bado kigumu Arusha, na KAZI ndio kwanza imeanza.

Mungu ubariki Mkoa wa Arusha,

Abarikiwe Nabii Lema.

Ubarikiwe Tanganyika,

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen

Karibuni🙏
Nitaomba JF tuwe na madaraja
Wenye super mind
Simple na lowest

Hatuwezi kuwa jukwaa Moja na mtu kama wewe unawaza vyeo sisi tunawaza nchi

Katiba mpya ni sasa
 
Hata huyo chatanda keshachemka na inaonekana anatumika na wapinzani wa makinda..alishindwa kulalamika kwenye vikao vya ndani vya chama badala ya kuita press?
 
Makonda ameoza kuanzia ndani, walio nje wasiahangaike kumwambia kwamba anakufa kisiasa, kwa kuwa hajioni kwa ndani
 
Salaam, Shalom!!

Ni muda sasa tangu RC wa Arusha aingie kwa mbwembwe kama kawaida yake katika maeneo mengi aliyokwenda baada ya kuteuliwa kuongoza,

Umati mkubwa wa watu waliokusanyika kumpokea na kuhudhuria utatuzi wa case za wananchi hadharani ambao haujawahi kufikia mwisho, Bado haukumstua Mh Lema.

Wakati Mh Lema akiwa kimya, Mh Gambo naye Yuko kimya, nadhani akiamini ujio wa RC utamrahisiahia njia mbele yake.

Sasa nimeamini Mh Lema, ukimya wake Si wa Bahati mbaya, ni calculated move, kumjibu au kumuongelea RC ni kumpa coverage, Mh Lema ameamua kunyamaza.

Matokeo ya ukimya wa Lema, RC ameanza kuharibu na anasemwa na kushtakiwa na viongozi wenzie ndani ya chama, Ndugu Mary Chatanda, ametoka hadharani kumtuhumu RC Kwa udhalilishaji wa Mtumishi wa Serikali katika hadhara iliyokwenda Kwa Jina la wiki ya HAKI.

Kumbe ukimya una nguvu sana.

Kongole kwako Mh Lema.

Salamu zimfikie Mh Gambo kuwa, kibarua Bado kigumu Arusha, na KAZI ndio kwanza imeanza.

Mungu ubariki Mkoa wa Arusha,

Abarikiwe Nabii Lema.

Ubarikiwe Tanganyika,

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen

Karibuni🙏
Mary Chatanda ni kakosea sana, tena kafanya makosa makubwa. Makonda alichoongea kilikuwa utani wa kawaida wa watanzania. Hata Dkt Magufuli alishawahi sema anapenda wanawake weupe akimtania Dkt Samia.
 
Hata huyo chatanda keshachemka na inaonekana anatumika na wapinzani wa makinda..alishindwa kulalamika kwenye vikao vya ndani vya chama badala ya kuita press?
Mke wa Makonda ni mzuri kuliko wanawake wa ccm . Makonda anaonewa wivu tu .
 
Back
Top Bottom